Lyrics Page

Zunguka

By David Wonder

2,074 views Jun 6, 2026 updated


Nilizunguka zunguka yayaa

Kabla sijakupata nilizunguka 

Yeah yea yea 


Wacha na ijulikane Mungu wangu anaishi 

Tangu situpatane sijawai kosa dishi 

Wacha na ijulikane Mungu wangu anaishi 

Tangu situpatane hatujawai kosa sisi


Ndio maana aiyai aiyai 


Kupata kazi kwa ofisi lazima uongee fisi 

Na binadamu hawaridhiki lakini kwako Baba 

Nilizunguka zunguka yayaa

Kabla sijakupata nilizunguka 


Wacha na ijulikane nakutegemea wewe tu 

Bila wewe si rahisi kuzunguka daily kwa miguu 

Sometimes hata nakosa kuwekea sukuma kitunguu 

Na mengine sitasema niwahadithia wajukuu 


Ndio maana aiyai aiyai 

Nimekuona Baba, nimekuona Baba


Kupata kazi kwa ofisi lazima uongee fisi 

Na binadamu hawaridhiki lakini kwako Baba 

Nilizunguka zunguka yayaa

Kabla sijakupata nilizunguka 


Nilizunguka zunguka yayaa

Kabla sijakupata nilizunguka 

Yeah yea yea 

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.