Lyrics

Ni kwa nini umeyaruhusu

Eeh Mungu mwenyezi

Yatusononeshe eeh moyon

Kwa nini unaruhusuu

Ona haya machozi

Tazama tunavyoliiia

Twajiulizaa sana Bwana

Ni kwa nini uliyaruhusu

NI KWANINI, AMBASSADORS OF CHRIST CHOIR, COPYRIGHT RESERVED 2012