Nimekupata yesu, nimepata yote,
Nimekupata bwana, sitahitaji tena aah,
Wewe ndiwe hitaji langu,
Ngome yangu na mwamba
tengemeo langu katika hali
jaza moyo wangu, upendo nikupende,
U rafiki wa kweli, nifundishe kupenda aah,bwana,
maana upendo wako, ndio pekee waweza,
Kunifanya kiumbe kipya nikakufuate
Natamani nitembee katika upendo wa bwana,
Upendo ule wa dhati, upendo husiobagua,
Upendo uletao hekima, busara na amani,
Upendo wakimbingu pekee ulio bora
Wapenzi wa kulia, wengi ni wadanganyifu,
niwapo katika hali zuri tuko wote eeh,
lakini katika matatizo, wote wanikimbia,
wewe nimekupata nitakushikilia
Natamani nitembee katika upendo wa bwana,
Upendo ule wa dhati, upendo husiobagua,
Upendo uletao hekima, busara na amani,
Upendo wakimbingu pekee ulio bora
Nakukaribisha bwana, uyatawale maisha, yetu ya kila siku,
Tufundishe kupanda aah, mbegu Za upendo wa dhati,
mwisho wa nyakati,tuweze kuvuna matunda ya ukamili
kamilisha upendo, mungu aliohadaa
Dumisha ndoa zao furaha itawale,
Bwana, pembeni za unyonge na udhaifu wao
familia iwe mwanga wa mbingu ku
Natamani nitembee katika upendo wa bwana,
upendo ule wa dhati, upendo husiobagua,
upendo uletao hekima, busara na amani,
upendo wakimbingu pekee ulio bora
Nimekupata Yesu -natamani nitembee
Christ Ambassadors' 'Praise Medley | Jehovah Baba Wa Upendo' is a Swahili Christian worship song that celebrates God's love and faithfulness. The lyrics express gratitude for finding Jesus as the ultimate need and fortress, and they emphasize the desire to walk in genuine, non-discriminating love that brings wisdom and peace. The song also includes prayers for God to rule daily lives, teach true love, and strengthen marriages and families. It reflects a deep trust in God's enduring love and a commitment to follow Him through all circumstances.