Hadithi

By Guardian Angel

Lyrics

Hadithi hadithi njoo 

Hadithi hadithi njoo 

Hadithi hadithi njoo 


Verse 1

Kuna bwana mmoja wa kichaa  

alipenda kuomba chakula kwa mama fulani, mama fulani. 

Siku moja yule mama alipanga amtilie sumu, 

yule wazimu akila afe aondoke kabisa, 

kule njiani alipatana na watoto wa yule mama akawagawanyiaa kile chakula. 

Watoto wake wakala wakafa, yule wazimu akabaki mzima

ishara kwamba unayo yatenda unajitendea mwenyewe X 2

   

Chorus

Ukitenda mema unajitendea mwenyewe 

Ukitenda maovu unajitendea mwenyewe X 2


Verse 2 

Salimia watu pesa huisha 

Gari hupata puncture hivi ni vitu vya dunia, 

hichi kidole nacho wanyoshea watu. Vingine vinne ninajinyoshea mwenyewe X 2

Ninaozungumza nao juu ya wenzangu, wanazungumza nao juu yangu mimi X 2

Tenda mema ondoka uende alo na chuki na wewe mpende kwasababu unayo yatenda unajitendea mwenyewe*2 


Chorus

Ukitenda mema unajitendea mwenyewe 

Ukitenda maovu unajitendea mwenyewe X 2

GUARDIAN ANGEL ~ HADITHI (Official HD Video)