Yesu Sio Mwizi

By Guardian Angel

Lyrics

Oooh, oooh 

Oooh, ooh


Yesu sio mwizi lakini 

Ameuiba moyo yangu

Yesu si polisi anifunge

Ananibeba bembeleza


Yeye ni rafiki wa dhati

Akiahidi lazima atatenda

Yesu ni mfalme wa amani

Kuwa karibu na yeye natamani


Yesu sio mwizi lakini 

Ameuiba moyo yangu

Yesu si polisi anifunge

Ananibeba bembeleza


Yeye ni rafiki wa dhati

Akiahidi lazima atatenda

Yesu ni mfalme wa amani

Kuwa karibu na yeye natamani


Yesu Yesu ni rafiki nimemuona dhabiti

Yesu Yesu rafiki, ahadi zake kweli

Yesu Yesu ni rafiki nimemuona dhabiti

Yesu Yesu rafiki, ahadi zake kweli


(Singing local)


Yesu Yesu ni rafiki nimemuona dhabiti

Yesu Yesu rafiki, ahadi zake kweli

Yesu Yesu ni rafiki nimemuona dhabiti

Yesu Yesu rafiki, ahadi zake kweli


Kumtegemea Yesu ni utamu sana

Kukubali neno lake raha moyoni

Kumtegemea Yesu ni utamu sana

Kwake daima nimepata uzima na amani


Kumtegemea Yesu ni utamu sana

Kukubali neno lake raha moyoni

Kumtegemea Yesu ni utamu sana

Kwake daima nimepata uzima na amani


Yesu Yesu ni rafiki nimemuona dhabiti

Yesu Yesu rafiki, ahadi zake kweli

Yesu Yesu ni rafiki nimemuona dhabiti

Yesu Yesu rafiki, ahadi zake kweli


Neno lake Bwana ni kweli na Amina

Ahadi zake kweli

Akiahidi kitu lazima atatenda

Ahadi zake kweli


Mungu ni mwaminifu ooh

Ahadi zake kweli

Ahadi za kweli 

Ahadi zake kweli

GUARDIAN ANGEL ~ YESU SIO MWIZI (Official Music Video)