Amani Ya Kweli Lyrics

By Neema Gospel Choir

Lyrics

Baba mwenye nguvu oh 

Mungu wa rehema aah 

Mbele ya uso wako tunakuja 

Jehovah tunasogea kwenye kiti chako ooh 

Twaleta maombi yetu yasikie (rudia)


Tunakuja tunakuja 

Mbele zako eeh Bwana 

Tunaomba tunaomba 

Utupe amani yako ya kweli 


Tumeona tumeona 

Nguvu zako na mkono wako tumeuona Baba

Tumesikia neno lako 

Linatutia nguvu linatubamba (rudia)


Amani ya kweli yatoka kwa Mungu aliye hai 

Upendo wa kweli watoka kwa Mungu aliye hai 

Furaha ya kweli watoka kwa Mungu aliye hai 


Tumeona tumeona 

Nguvu zako na mkono wako tumeuona Baba

Tumesikia neno lako 

Linatutia nguvu linatubamba (rudia)


Neema Gospel Choir - Amani ya Kweli (Official Video)

Now Playing...