Mungu Mzuri by Godwill Babette

Updated 18 hours ago

Lyrics Verified by Editorial Team

Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote

Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa.

Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote

Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa.

Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote

Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa.


Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele.

Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege.

Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele.

Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege.


Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote

Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa.

Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote

Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa.


Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele.

Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege.

Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele.

Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege.


Mungu wewe ni mzuri, mzuri, mzuri Sana

Mungu wewe ni mwema, mwema, mwema kwangu

Mungu wewe ni mzuri, mzuri, mzuri Sana

Mungu wewe ni mwema, mwema, mwema kwangu

Official Video