1 Mambo ya Nyakati Mlango 25 1st Chronicles
1 Mambo ya Nyakati 25:1 1stChronicles 25:1
Tena Daudi na maakida wa jeshi wakatenga kwa utumishi baadhi ya wana wa Asafu, na wa Hemani, na wa Yeduthuni, watakaotabiri kwa vinubi na vinanda, na matoazi; hii ndiyo hesabu ya wafanya kazi sawasawa na utumishi wao;
1 Mambo ya Nyakati 25:2 1stChronicles 25:2
wa wana wa Asafu; Zakuri, na Yusufu, na Nethania, na Asharela, wana wa Asafu; walioamriwa na Asafu, aliyetabiri kwa amri ya mfalme.
1 Mambo ya Nyakati 25:3 1stChronicles 25:3
Wa Yeduthuni; wana wa Yeduthuni; Gedalia, na Seri, na Yeshaya, na Hashabia, na Matithia, [na Shimei], watu sita; walioamriwa na baba yao Yeduthuni mwenye kinubi, aliyetabiri katika kumshukuru na kumsifu Bwana.
1 Mambo ya Nyakati 25:4 1stChronicles 25:4
Wa Hemani; wana wa Hemani; Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, na Romanti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri, Mahaziothi;
1 Mambo ya Nyakati 25:5 1stChronicles 25:5
hao wote ndio wana wa Hemani, mwonaji wa mfalme, kwa maneno ya Mungu, ili kuinua pembe. Naye Mungu akampa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
1 Mambo ya Nyakati 25:6 1stChronicles 25:6
Hao wote waliamriwa na baba yao, waimbe nyumbani mwa Bwana, wakiwa na matoazi, vinanda, na vinubi, kwa utumishi wa nyumba ya Mungu; Asafu, Yeduthuni, na Hemani wakiwa wanaamriwa na mfalme.
1 Mambo ya Nyakati 25:7 1stChronicles 25:7
Na hesabu yao, pamoja na ndugu zao waliofundishwa kumwimbia Bwana, wote waliokuwa wastadi, walikuwa mia mbili na themanini na wanane.
1 Mambo ya Nyakati 25:8 1stChronicles 25:8
Wakatupiwa kura ya ulinzi wao, sawasawa wote, mdogo kwa mkubwa, mwalimu kwa mwanafunzi.
1 Mambo ya Nyakati 25:9 1stChronicles 25:9
Kura ya kwanza ikamtokea Yusufu, kwa Asafu; ya pili Gedalia; yeye na nduguze na wanawe, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:10 1stChronicles 25:10
ya tatu Zakuri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:11 1stChronicles 25:11
ya nne Seri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:12 1stChronicles 25:12
ya tano Nethania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:13 1stChronicles 25:13
ya sita Bukia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:14 1stChronicles 25:14
ya saba Asharela, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:15 1stChronicles 25:15
ya nane Yeshaya, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:16 1stChronicles 25:16
ya kenda Matania wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:17 1stChronicles 25:17
ya kumi Shimei, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:18 1stChronicles 25:18
ya kumi na moja Uzieli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:19 1stChronicles 25:19
ya kumi na mbili Hashabia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:20 1stChronicles 25:20
ya kumi na tatu Shebueli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:21 1stChronicles 25:21
ya kumi na nne Matithia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:22 1stChronicles 25:22
ya kumi na tano Yeremothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:23 1stChronicles 25:23
ya kumi na sita Hanania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:24 1stChronicles 25:24
ya kumi na saba Yoshbekasha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:25 1stChronicles 25:25
ya kumi na nane Hanani, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:26 1stChronicles 25:26
ya kumi na kenda Malothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:27 1stChronicles 25:27
ya ishirini Eliatha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:28 1stChronicles 25:28
ya ishirini na moja Hothiri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:29 1stChronicles 25:29
ya ishirini na mbili Gidalti, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:30 1stChronicles 25:30
ya ishirini na tatu Mahaziothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
1 Mambo ya Nyakati 25:31 1stChronicles 25:31
ya ishirini na nne Romanti-ezeri, wanawe na nduguze, kumi na wawili.