1 Mambo ya Nyakati Mlango 3 1st Chronicles
1 Mambo ya Nyakati 3:1 1stChronicles 3:1
Basi hawa ndio wana wa Daudi, aliozaliwa huko Hebroni; Amnoni, mzaliwa wa kwanza, mwana wa Ahinoamu, Myezreeli; wa pili, Danieli, wa Abigaili, Mkarmeli;
1 Mambo ya Nyakati 3:2 1stChronicles 3:2
wa tatu, Absalomu, mwana wa Maaka, binti Talmai, mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, mwana wa Hagithi;
1 Mambo ya Nyakati 3:3 1stChronicles 3:3
wa tano, Shefatia, wa Abitali; wa sita, Ithreamu, kwa Egla, mkewe.
1 Mambo ya Nyakati 3:4 1stChronicles 3:4
Sita alizaliwa huko Hebroni; na huko akamiliki miaka saba na miezi sita; na huko Yerusalemu akamiliki miaka thelathini na mitatu.
1 Mambo ya Nyakati 3:5 1stChronicles 3:5
Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu;
1 Mambo ya Nyakati 3:6 1stChronicles 3:6
na Ibhari, na Elishua, na Elipeleti;
1 Mambo ya Nyakati 3:7 1stChronicles 3:7
na Noga, na Nefegi, na Yafia;
1 Mambo ya Nyakati 3:8 1stChronicles 3:8
na Elishama, na Eliada, na Elifeleti, watu kenda.
1 Mambo ya Nyakati 3:9 1stChronicles 3:9
Hao wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wana wa masuria; na Tamari alikuwa umbu lao.
1 Mambo ya Nyakati 3:10 1stChronicles 3:10
Na mwanawe Sulemani alikuwa Rehoboamu; na mwanawe huyo alikuwa Abiya; na mwanawe huyo ni Asa; na mwanawe huyo ni Yehoshafati;
1 Mambo ya Nyakati 3:11 1stChronicles 3:11
na mwanawe huyo ni Yehoramu; na mwanawe huyo ni Ahazia; na mwanawe huyo ni Yoashi;
1 Mambo ya Nyakati 3:12 1stChronicles 3:12
na mwanawe huyo ni Amazia; na mwanawe huyo ni Uzia; na mwanawe huyo ni Yothamu;
1 Mambo ya Nyakati 3:13 1stChronicles 3:13
na mwanawe huyo ni Ahazi; na mwanawe huyo ni Hezekia; na mwanawe huyo ni Manase;
1 Mambo ya Nyakati 3:14 1stChronicles 3:14
na mwanawe huyo ni Amoni; na mwanawe huyo ni Yosia.
1 Mambo ya Nyakati 3:15 1stChronicles 3:15
Na wana wa Yosia walikuwa hawa; Yohana mzaliwa wa kwanza, wa pili Yehoyakimu, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
1 Mambo ya Nyakati 3:16 1stChronicles 3:16
Na wana wa Yehoyakimu ni hawa; mwanawe Yekonia, na mwanawe Sedekia.
1 Mambo ya Nyakati 3:17 1stChronicles 3:17
Na wana wa Yekonia, huyo aliyechukuliwa mateka; mwanawe Shealtieli,
1 Mambo ya Nyakati 3:18 1stChronicles 3:18
na Malkiramu, na Pedaya, na Shenazari, na Yekamia, na Hoshama, na Nedabia.
1 Mambo ya Nyakati 3:19 1stChronicles 3:19
Na wana wa Pedaya; Zerubabeli, na Shimei; na wana wa Zerubabeli; Meshulamu na Hanania; na Shelomithi alikuwa umbu lao;
1 Mambo ya Nyakati 3:20 1stChronicles 3:20
na Hashuba, na Oheli, na Berekia, na Hasadia, na Yushab-Hesedi, watu watano.
1 Mambo ya Nyakati 3:21 1stChronicles 3:21
Na wana wa Hanania; Pelatia na Yeshaya; na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
1 Mambo ya Nyakati 3:22 1stChronicles 3:22
Na wana wa Shekania ni hawa; Shemaya, na wana wa Shemaya; Hatushi, na Igali, na Baria, na Nearia, na Shafati, watu sita.
1 Mambo ya Nyakati 3:23 1stChronicles 3:23
Na wana wa Nearia; Elioenai, na Hezekia, na Azrikamu, watu watatu.
1 Mambo ya Nyakati 3:24 1stChronicles 3:24
Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba.