1 Mambo ya Nyakati Mlango 1 1st Chronicles

1 Mambo ya Nyakati 1:1 1stChronicles 1:1

Adamu, na Sethi, na Enoshi;

1 Mambo ya Nyakati 1:2 1stChronicles 1:2

na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi;

1 Mambo ya Nyakati 1:3 1stChronicles 1:3

na Henoko, na Methusela, na Lameki;

1 Mambo ya Nyakati 1:4 1stChronicles 1:4

na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi.

1 Mambo ya Nyakati 1:5 1stChronicles 1:5

Wana wa Yafethi; Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.

1 Mambo ya Nyakati 1:6 1stChronicles 1:6

Na wana wa Gomeri; Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.

1 Mambo ya Nyakati 1:7 1stChronicles 1:7

Na wana wa Yavani; Elisha, na Tarshishi, na Kitimu, na Warodani.

1 Mambo ya Nyakati 1:8 1stChronicles 1:8

Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.

1 Mambo ya Nyakati 1:9 1stChronicles 1:9

Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.

1 Mambo ya Nyakati 1:10 1stChronicles 1:10

Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.

1 Mambo ya Nyakati 1:11 1stChronicles 1:11

Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

1 Mambo ya Nyakati 1:12 1stChronicles 1:12

na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.

1 Mambo ya Nyakati 1:13 1stChronicles 1:13

Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;

1 Mambo ya Nyakati 1:14 1stChronicles 1:14

na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;

1 Mambo ya Nyakati 1:15 1stChronicles 1:15

na Mhivi, na Mwarki, na Msini;

1 Mambo ya Nyakati 1:16 1stChronicles 1:16

na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.

1 Mambo ya Nyakati 1:17 1stChronicles 1:17

Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.

1 Mambo ya Nyakati 1:18 1stChronicles 1:18

Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.

1 Mambo ya Nyakati 1:19 1stChronicles 1:19

Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.

1 Mambo ya Nyakati 1:20 1stChronicles 1:20

Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;

1 Mambo ya Nyakati 1:21 1stChronicles 1:21

na Hadoramu, na Uzali, na Dikla;

1 Mambo ya Nyakati 1:22 1stChronicles 1:22

na Obali, na Abimaeli, na Sheba;

1 Mambo ya Nyakati 1:23 1stChronicles 1:23

na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.

1 Mambo ya Nyakati 1:24 1stChronicles 1:24

Shemu, na Arfaksadi, na Sala;

1 Mambo ya Nyakati 1:25 1stChronicles 1:25

na Eberi, na Pelegi, na Reu;

1 Mambo ya Nyakati 1:26 1stChronicles 1:26

na Serugi, na Nahori, na Tera;

1 Mambo ya Nyakati 1:27 1stChronicles 1:27

na Abramu, naye ndiye Ibrahimu.

1 Mambo ya Nyakati 1:28 1stChronicles 1:28

Wana wa Ibrahimu; Isaka, na Ishmaeli.

1 Mambo ya Nyakati 1:29 1stChronicles 1:29

Hivi ndivyo vizazi vyao; mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Nebayothi; kisha Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu;

1 Mambo ya Nyakati 1:30 1stChronicles 1:30

na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema;

1 Mambo ya Nyakati 1:31 1stChronicles 1:31

na Yeturi, na, Nafishi, na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.

1 Mambo ya Nyakati 1:32 1stChronicles 1:32

Na wana wa Ketura, suria yake Ibrahimu; yeye akamzaa Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Shua. Na wana wa Yokshani; Sheba na Dedani.

1 Mambo ya Nyakati 1:33 1stChronicles 1:33

Na wana wa Midiani; Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote ndio wana wa Ketura.

1 Mambo ya Nyakati 1:34 1stChronicles 1:34

Na Ibrahimu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.

1 Mambo ya Nyakati 1:35 1stChronicles 1:35

Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora.

1 Mambo ya Nyakati 1:36 1stChronicles 1:36

Wana wa Elifazi; Temani, na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi, na, kwa Timna, Amaleki.

1 Mambo ya Nyakati 1:37 1stChronicles 1:37

Wana wa Reueli; Nahathi, na Zera, na Shama, na Miza.

1 Mambo ya Nyakati 1:38 1stChronicles 1:38

Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.

1 Mambo ya Nyakati 1:39 1stChronicles 1:39

Na wana wa Lotani; Hori, na Hemamu; na Timna ni umbu lake Lotani.

1 Mambo ya Nyakati 1:40 1stChronicles 1:40

Wana wa Shobali; Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu. Na wana wa Sibeoni; Aya, na Ana.

1 Mambo ya Nyakati 1:41 1stChronicles 1:41

Wana wa Ana; Dishoni. Na wana wa Dishoni; Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani.

1 Mambo ya Nyakati 1:42 1stChronicles 1:42

Wana wa Eseri; Bilhani, na Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani; Usi, na Arani.

1 Mambo ya Nyakati 1:43 1stChronicles 1:43

Basi hawa ndio wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu, kabla hajamiliki mfalme awaye yote juu ya wana wa Israeli; Bela, mwana wa Beori; na jina la mji wake ni Dinhaba.

1 Mambo ya Nyakati 1:44 1stChronicles 1:44

Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake.

1 Mambo ya Nyakati 1:45 1stChronicles 1:45

Yobabu akafa, naye Hushamu, wa nchi ya Watemani, akamiliki badala yake.

1 Mambo ya Nyakati 1:46 1stChronicles 1:46

Hushamu akafa, naye Hadadi, mwana wa Bedadi, akamiliki badala yake, ambaye aliwapiga Midiani katika uwanja wa Moabu; na jina la mji wake ni Avithi.

1 Mambo ya Nyakati 1:47 1stChronicles 1:47

Hadadi akafa, naye Samla, wa Masreka, akamiliki badala yake.

1 Mambo ya Nyakati 1:48 1stChronicles 1:48

Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akamiliki badala yake.

1 Mambo ya Nyakati 1:49 1stChronicles 1:49

Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akamiliki badala yake.

1 Mambo ya Nyakati 1:50 1stChronicles 1:50

Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akamiliki badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.

1 Mambo ya Nyakati 1:51 1stChronicles 1:51

Akafa Hadadi. Na hawa ndio majumbe wa Edomu; jumbe Timna, na jumbe Alva, na jumbe Yethethi;

1 Mambo ya Nyakati 1:52 1stChronicles 1:52

na jumbe Oholibama, na jumbe Ela, na jumbe Pinoni;

1 Mambo ya Nyakati 1:53 1stChronicles 1:53

na jumbe Kenazi, na jumbe Temani, na jumbe Mibsari;

1 Mambo ya Nyakati 1:54 1stChronicles 1:54

na jumbe Magdieli, na jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu.