1 Mambo ya Nyakati Mlango 1 1st Chronicles
1 Mambo ya Nyakati 1:1 1stChronicles 1:1
Adamu, na Sethi, na Enoshi;
1 Mambo ya Nyakati 1:2 1stChronicles 1:2
na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi;
1 Mambo ya Nyakati 1:3 1stChronicles 1:3
na Henoko, na Methusela, na Lameki;
1 Mambo ya Nyakati 1:4 1stChronicles 1:4
na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi.
1 Mambo ya Nyakati 1:5 1stChronicles 1:5
Wana wa Yafethi; Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
1 Mambo ya Nyakati 1:6 1stChronicles 1:6
Na wana wa Gomeri; Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.
1 Mambo ya Nyakati 1:7 1stChronicles 1:7
Na wana wa Yavani; Elisha, na Tarshishi, na Kitimu, na Warodani.
1 Mambo ya Nyakati 1:8 1stChronicles 1:8
Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
1 Mambo ya Nyakati 1:9 1stChronicles 1:9
Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.
1 Mambo ya Nyakati 1:10 1stChronicles 1:10
Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
1 Mambo ya Nyakati 1:11 1stChronicles 1:11
Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,
1 Mambo ya Nyakati 1:12 1stChronicles 1:12
na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.
1 Mambo ya Nyakati 1:13 1stChronicles 1:13
Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;
1 Mambo ya Nyakati 1:14 1stChronicles 1:14
na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;
1 Mambo ya Nyakati 1:15 1stChronicles 1:15
na Mhivi, na Mwarki, na Msini;
1 Mambo ya Nyakati 1:16 1stChronicles 1:16
na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.
1 Mambo ya Nyakati 1:17 1stChronicles 1:17
Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.
1 Mambo ya Nyakati 1:18 1stChronicles 1:18
Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.
1 Mambo ya Nyakati 1:19 1stChronicles 1:19
Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.
1 Mambo ya Nyakati 1:20 1stChronicles 1:20
Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;
1 Mambo ya Nyakati 1:21 1stChronicles 1:21
na Hadoramu, na Uzali, na Dikla;
1 Mambo ya Nyakati 1:22 1stChronicles 1:22
na Obali, na Abimaeli, na Sheba;
1 Mambo ya Nyakati 1:23 1stChronicles 1:23
na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.
1 Mambo ya Nyakati 1:24 1stChronicles 1:24
Shemu, na Arfaksadi, na Sala;
1 Mambo ya Nyakati 1:25 1stChronicles 1:25
na Eberi, na Pelegi, na Reu;
1 Mambo ya Nyakati 1:26 1stChronicles 1:26
na Serugi, na Nahori, na Tera;
1 Mambo ya Nyakati 1:27 1stChronicles 1:27
na Abramu, naye ndiye Ibrahimu.
1 Mambo ya Nyakati 1:28 1stChronicles 1:28
Wana wa Ibrahimu; Isaka, na Ishmaeli.
1 Mambo ya Nyakati 1:29 1stChronicles 1:29
Hivi ndivyo vizazi vyao; mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Nebayothi; kisha Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu;
1 Mambo ya Nyakati 1:30 1stChronicles 1:30
na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema;
1 Mambo ya Nyakati 1:31 1stChronicles 1:31
na Yeturi, na, Nafishi, na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
1 Mambo ya Nyakati 1:32 1stChronicles 1:32
Na wana wa Ketura, suria yake Ibrahimu; yeye akamzaa Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Shua. Na wana wa Yokshani; Sheba na Dedani.
1 Mambo ya Nyakati 1:33 1stChronicles 1:33
Na wana wa Midiani; Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote ndio wana wa Ketura.
1 Mambo ya Nyakati 1:34 1stChronicles 1:34
Na Ibrahimu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.
1 Mambo ya Nyakati 1:35 1stChronicles 1:35
Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora.
1 Mambo ya Nyakati 1:36 1stChronicles 1:36
Wana wa Elifazi; Temani, na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi, na, kwa Timna, Amaleki.
1 Mambo ya Nyakati 1:37 1stChronicles 1:37
Wana wa Reueli; Nahathi, na Zera, na Shama, na Miza.
1 Mambo ya Nyakati 1:38 1stChronicles 1:38
Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.
1 Mambo ya Nyakati 1:39 1stChronicles 1:39
Na wana wa Lotani; Hori, na Hemamu; na Timna ni umbu lake Lotani.
1 Mambo ya Nyakati 1:40 1stChronicles 1:40
Wana wa Shobali; Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu. Na wana wa Sibeoni; Aya, na Ana.
1 Mambo ya Nyakati 1:41 1stChronicles 1:41
Wana wa Ana; Dishoni. Na wana wa Dishoni; Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani.
1 Mambo ya Nyakati 1:42 1stChronicles 1:42
Wana wa Eseri; Bilhani, na Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani; Usi, na Arani.
1 Mambo ya Nyakati 1:43 1stChronicles 1:43
Basi hawa ndio wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu, kabla hajamiliki mfalme awaye yote juu ya wana wa Israeli; Bela, mwana wa Beori; na jina la mji wake ni Dinhaba.
1 Mambo ya Nyakati 1:44 1stChronicles 1:44
Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake.
1 Mambo ya Nyakati 1:45 1stChronicles 1:45
Yobabu akafa, naye Hushamu, wa nchi ya Watemani, akamiliki badala yake.
1 Mambo ya Nyakati 1:46 1stChronicles 1:46
Hushamu akafa, naye Hadadi, mwana wa Bedadi, akamiliki badala yake, ambaye aliwapiga Midiani katika uwanja wa Moabu; na jina la mji wake ni Avithi.
1 Mambo ya Nyakati 1:47 1stChronicles 1:47
Hadadi akafa, naye Samla, wa Masreka, akamiliki badala yake.
1 Mambo ya Nyakati 1:48 1stChronicles 1:48
Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akamiliki badala yake.
1 Mambo ya Nyakati 1:49 1stChronicles 1:49
Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akamiliki badala yake.
1 Mambo ya Nyakati 1:50 1stChronicles 1:50
Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akamiliki badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.
1 Mambo ya Nyakati 1:51 1stChronicles 1:51
Akafa Hadadi. Na hawa ndio majumbe wa Edomu; jumbe Timna, na jumbe Alva, na jumbe Yethethi;
1 Mambo ya Nyakati 1:52 1stChronicles 1:52
na jumbe Oholibama, na jumbe Ela, na jumbe Pinoni;
1 Mambo ya Nyakati 1:53 1stChronicles 1:53
na jumbe Kenazi, na jumbe Temani, na jumbe Mibsari;
1 Mambo ya Nyakati 1:54 1stChronicles 1:54
na jumbe Magdieli, na jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu.