1 Mambo ya Nyakati Mlango 8 1st Chronicles

1 Mambo ya Nyakati 8:1 1stChronicles 8:1

Naye Benyamini akamzaa Bela, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Ashbeli, na wa tatu Ahiramu;

1 Mambo ya Nyakati 8:2 1stChronicles 8:2

na wa nne Noha, na wa tano Rafa.

1 Mambo ya Nyakati 8:3 1stChronicles 8:3

Na Bela alikuwa na wana; Adari, na Gera, na Abihudi;

1 Mambo ya Nyakati 8:4 1stChronicles 8:4

na Abishua, na Naamani, na Ahoa;

1 Mambo ya Nyakati 8:5 1stChronicles 8:5

na Gera, na Shufamu, na Huramu.

1 Mambo ya Nyakati 8:6 1stChronicles 8:6

Na hawa ndio wana wa Ehudi. (Hao ndio wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Geba; nao wakawachukua mateka mpaka Manahathi;

1 Mambo ya Nyakati 8:7 1stChronicles 8:7

na Naamani, na Ahoa, na Gera; aliwachukua mateka). Naye akamzaa Uza, na Ahihudi.

1 Mambo ya Nyakati 8:8 1stChronicles 8:8

Na Shaharaimu akazaa watoto katika Bara-Moabu, baada ya kuwafukuza wakeze Hushimu na Baara.

1 Mambo ya Nyakati 8:9 1stChronicles 8:9

Akazaliwa na Hodeshi, mkewe; Yobabu, na Sibia, na Mesha, na Malkamu;

1 Mambo ya Nyakati 8:10 1stChronicles 8:10

na Yeusi, na Shakia, na Mirma. Hao ndio wanawe, wakuu wa mbari za baba zao.

1 Mambo ya Nyakati 8:11 1stChronicles 8:11

Naye alikuwa amezaliwa na Hushimu, Abitubu, na Elpaali.

1 Mambo ya Nyakati 8:12 1stChronicles 8:12

Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;

1 Mambo ya Nyakati 8:13 1stChronicles 8:13

na Beria, na Shema, waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Aiyaloni, wale ambao waliwakimbiza wenyeji wa Gathi.

1 Mambo ya Nyakati 8:14 1stChronicles 8:14

Na Ahio, na Ghashaki, na Yeremothi;

1 Mambo ya Nyakati 8:15 1stChronicles 8:15

na Zebadia, na Aradi, na Ederi;

1 Mambo ya Nyakati 8:16 1stChronicles 8:16

na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria.

1 Mambo ya Nyakati 8:17 1stChronicles 8:17

Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;

1 Mambo ya Nyakati 8:18 1stChronicles 8:18

na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.

1 Mambo ya Nyakati 8:19 1stChronicles 8:19

Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;

1 Mambo ya Nyakati 8:20 1stChronicles 8:20

na Elienai, na Silethai, na Elieli;

1 Mambo ya Nyakati 8:21 1stChronicles 8:21

na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.

1 Mambo ya Nyakati 8:22 1stChronicles 8:22

Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;

1 Mambo ya Nyakati 8:23 1stChronicles 8:23

na Abdoni, na Zikri, na Hanani;

1 Mambo ya Nyakati 8:24 1stChronicles 8:24

na Hanania, na Elamu, na Anthothiya;

1 Mambo ya Nyakati 8:25 1stChronicles 8:25

na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.

1 Mambo ya Nyakati 8:26 1stChronicles 8:26

Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia;

1 Mambo ya Nyakati 8:27 1stChronicles 8:27

na Yaareshia, na Eliya, na Zikri; walikuwa wana wa Yerohamu.

1 Mambo ya Nyakati 8:28 1stChronicles 8:28

Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.

1 Mambo ya Nyakati 8:29 1stChronicles 8:29

Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;

1 Mambo ya Nyakati 8:30 1stChronicles 8:30

na mwanawe, mzaliwa wake wa kwanza, alikuwa Abdoni, na Suri, na Kishi, na Baali, na Nadabu;

1 Mambo ya Nyakati 8:31 1stChronicles 8:31

na Gedori, na Ahio, na Zekaria

1 Mambo ya Nyakati 8:32 1stChronicles 8:32

Na Miklothi akamzaa Shimea. Na hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.

1 Mambo ya Nyakati 8:33 1stChronicles 8:33

Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.

1 Mambo ya Nyakati 8:34 1stChronicles 8:34

Na mwanawe Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.

1 Mambo ya Nyakati 8:35 1stChronicles 8:35

Na wana wa Mika; Pithoni, na Meleki, na Tarea, na Ahazi.

1 Mambo ya Nyakati 8:36 1stChronicles 8:36

Na Ahazi akamzaa Yara; na Yara akamzaa Alemethi, na Azmawethi, na Zimri; na Zimri akamzaa Mosa;

1 Mambo ya Nyakati 8:37 1stChronicles 8:37

na Mosa akamzaa Binea; na mwanawe huyo alikuwa Refaya, na mwanawe huyo ni Ekasa, na mwanawe huyo ni Aseli;

1 Mambo ya Nyakati 8:38 1stChronicles 8:38

naye Aseli alikuwa na wana sita, ambao majina yao ni haya; Azrikamu, na Bokeru, na Ishmaeli, na Shearia, na Obadia, na Hanani. Hao wote walikuwa wana wa Aseli.

1 Mambo ya Nyakati 8:39 1stChronicles 8:39

Na wana wa Esheki nduguye ni hawa; mzaliwa wake wa kwanza, Ulamu, na wa pili Yeushi, na wa tatu Elifeleti.

1 Mambo ya Nyakati 8:40 1stChronicles 8:40

Na wana wa Ulamu walikuwa watu hodari wa vita, wapiga upinde, nao walikuwa na wana wengi, na wana wa wana, watu mia na hamsini. Hao wote ndio waliokuwa wana wa Benyamini.