1 Mambo ya Nyakati Mlango 8 1st Chronicles
1 Mambo ya Nyakati 8:1 1stChronicles 8:1
Naye Benyamini akamzaa Bela, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Ashbeli, na wa tatu Ahiramu;
1 Mambo ya Nyakati 8:2 1stChronicles 8:2
na wa nne Noha, na wa tano Rafa.
1 Mambo ya Nyakati 8:3 1stChronicles 8:3
Na Bela alikuwa na wana; Adari, na Gera, na Abihudi;
1 Mambo ya Nyakati 8:4 1stChronicles 8:4
na Abishua, na Naamani, na Ahoa;
1 Mambo ya Nyakati 8:5 1stChronicles 8:5
na Gera, na Shufamu, na Huramu.
1 Mambo ya Nyakati 8:6 1stChronicles 8:6
Na hawa ndio wana wa Ehudi. (Hao ndio wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Geba; nao wakawachukua mateka mpaka Manahathi;
1 Mambo ya Nyakati 8:7 1stChronicles 8:7
na Naamani, na Ahoa, na Gera; aliwachukua mateka). Naye akamzaa Uza, na Ahihudi.
1 Mambo ya Nyakati 8:8 1stChronicles 8:8
Na Shaharaimu akazaa watoto katika Bara-Moabu, baada ya kuwafukuza wakeze Hushimu na Baara.
1 Mambo ya Nyakati 8:9 1stChronicles 8:9
Akazaliwa na Hodeshi, mkewe; Yobabu, na Sibia, na Mesha, na Malkamu;
1 Mambo ya Nyakati 8:10 1stChronicles 8:10
na Yeusi, na Shakia, na Mirma. Hao ndio wanawe, wakuu wa mbari za baba zao.
1 Mambo ya Nyakati 8:11 1stChronicles 8:11
Naye alikuwa amezaliwa na Hushimu, Abitubu, na Elpaali.
1 Mambo ya Nyakati 8:12 1stChronicles 8:12
Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;
1 Mambo ya Nyakati 8:13 1stChronicles 8:13
na Beria, na Shema, waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Aiyaloni, wale ambao waliwakimbiza wenyeji wa Gathi.
1 Mambo ya Nyakati 8:14 1stChronicles 8:14
Na Ahio, na Ghashaki, na Yeremothi;
1 Mambo ya Nyakati 8:15 1stChronicles 8:15
na Zebadia, na Aradi, na Ederi;
1 Mambo ya Nyakati 8:16 1stChronicles 8:16
na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria.
1 Mambo ya Nyakati 8:17 1stChronicles 8:17
Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;
1 Mambo ya Nyakati 8:18 1stChronicles 8:18
na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.
1 Mambo ya Nyakati 8:19 1stChronicles 8:19
Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;
1 Mambo ya Nyakati 8:20 1stChronicles 8:20
na Elienai, na Silethai, na Elieli;
1 Mambo ya Nyakati 8:21 1stChronicles 8:21
na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.
1 Mambo ya Nyakati 8:22 1stChronicles 8:22
Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;
1 Mambo ya Nyakati 8:23 1stChronicles 8:23
na Abdoni, na Zikri, na Hanani;
1 Mambo ya Nyakati 8:24 1stChronicles 8:24
na Hanania, na Elamu, na Anthothiya;
1 Mambo ya Nyakati 8:25 1stChronicles 8:25
na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.
1 Mambo ya Nyakati 8:26 1stChronicles 8:26
Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia;
1 Mambo ya Nyakati 8:27 1stChronicles 8:27
na Yaareshia, na Eliya, na Zikri; walikuwa wana wa Yerohamu.
1 Mambo ya Nyakati 8:28 1stChronicles 8:28
Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.
1 Mambo ya Nyakati 8:29 1stChronicles 8:29
Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;
1 Mambo ya Nyakati 8:30 1stChronicles 8:30
na mwanawe, mzaliwa wake wa kwanza, alikuwa Abdoni, na Suri, na Kishi, na Baali, na Nadabu;
1 Mambo ya Nyakati 8:31 1stChronicles 8:31
na Gedori, na Ahio, na Zekaria
1 Mambo ya Nyakati 8:32 1stChronicles 8:32
Na Miklothi akamzaa Shimea. Na hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.
1 Mambo ya Nyakati 8:33 1stChronicles 8:33
Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.
1 Mambo ya Nyakati 8:34 1stChronicles 8:34
Na mwanawe Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.
1 Mambo ya Nyakati 8:35 1stChronicles 8:35
Na wana wa Mika; Pithoni, na Meleki, na Tarea, na Ahazi.
1 Mambo ya Nyakati 8:36 1stChronicles 8:36
Na Ahazi akamzaa Yara; na Yara akamzaa Alemethi, na Azmawethi, na Zimri; na Zimri akamzaa Mosa;
1 Mambo ya Nyakati 8:37 1stChronicles 8:37
na Mosa akamzaa Binea; na mwanawe huyo alikuwa Refaya, na mwanawe huyo ni Ekasa, na mwanawe huyo ni Aseli;
1 Mambo ya Nyakati 8:38 1stChronicles 8:38
naye Aseli alikuwa na wana sita, ambao majina yao ni haya; Azrikamu, na Bokeru, na Ishmaeli, na Shearia, na Obadia, na Hanani. Hao wote walikuwa wana wa Aseli.
1 Mambo ya Nyakati 8:39 1stChronicles 8:39
Na wana wa Esheki nduguye ni hawa; mzaliwa wake wa kwanza, Ulamu, na wa pili Yeushi, na wa tatu Elifeleti.
1 Mambo ya Nyakati 8:40 1stChronicles 8:40
Na wana wa Ulamu walikuwa watu hodari wa vita, wapiga upinde, nao walikuwa na wana wengi, na wana wa wana, watu mia na hamsini. Hao wote ndio waliokuwa wana wa Benyamini.