Tumeshinda Lyrics

By Eunice Njeri

Lyrics

Jeshi la Bwana amka, tuvae silaha twende 

Tuimbe tushangilie, maana yote yawezekana 


All:

Jeshi la Bwana amka, tuvae silaha twende 

Tuimbe tushangilie, maana yote yawezekana 


Eunice Njeri(all): 

Hakuna asiloweza, tumeshinda kwa jina la Yesu 

Tumesimama kazi ya msalaba


Chorus: 

Tumeshinda kwa jina la Yesu 

Tumesimama kazi ya msalaba


Let the army of God arise 

With the armor of God arise 

Sing and shout to the king of kings 

All things are possible 

And nothing is impossible 


Tumeshinda kwa jina la Yesu 

Tumesimama kazi ya msalaba


Godwill Babette:

Tumezingirwa na uwepo wako Mungu 

Tumezungukwa a Majeshi ya Mbinguni 

Tumezingirwa na uwepo wako Mungu 

Tumezungukwa a Majeshi ya Mbinguni 


All:

Tumezingirwa na uwepo wako Mungu 

Tumezungukwa a Majeshi ya Mbinguni 


Tumeshinda kwa jina la Yesu 

Tumesimama kazi ya msalaba 


Tumeshinda yay yay(ona ona) 

Tumesimama kazi ya msalaba


Tumeshinda kwa jina la Yesu 

Tumesimama kazi ya msalaba 

"Tumeshinda - Eunice Njeri Ft. Godwill Babette (SMS Skiza 6380478 to 811)"

Now Playing...