Ezekieli Mlango 30 Ezekiel

Ezekieli 30:1 Ezekiel 30:1

Neno la Bwana likanijia tena, kusema,

Ezekieli 30:2 Ezekiel 30:2

Mwanadamu, tabiri, useme, Bwana MUNGU asema hivi; Pigeni makelele ya uchungu, Ole

Ezekieli 30:3 Ezekiel 30:3

Kwa maana siku ile i karibu, siku ile ya Bwana i karibu, siku ya mawingu; itakuwa

Ezekieli 30:4 Ezekiel 30:4

Na upanga utakuja juu ya Misri, na dhiki itakuwa katika Kushi, watakapoanguka

Ezekieli 30:5 Ezekiel 30:5

Kushi, na Putu, na Ludi, na watu wote waliochanganyika, na Kubu, na wana wa nchi

Ezekieli 30:6 Ezekiel 30:6

Bwana asema hivi; Nao pia wanaoitegemeza Misri wataanguka, na kiburi cha uwezo

Ezekieli 30:7 Ezekiel 30:7

Nao watakuwa ukiwa, kati ya nchi zilizo ukiwa, na miji yake itakuwamo kati ya

Ezekieli 30:8 Ezekiel 30:8

Nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, nitakapoweka moto katika Misri, na hao wote

Ezekieli 30:9 Ezekiel 30:9

Katika siku hiyo watatoka wajumbe mbele zangu katika merikebu, ili kuwatia hofu

Ezekieli 30:10 Ezekiel 30:10

Bwana MUNGU asema hivi; Pia nitaukomesha wingi wa watu wa Misri, kwa mkono wa

Ezekieli 30:11 Ezekiel 30:11

Yeye, na watu wake pamoja naye, watu wa mataifa watishao, wataletwa waingie

Ezekieli 30:12 Ezekiel 30:12

Nami nitaikausha mito, na kuiuza nchi, na kuitia katika mikono ya watu wabaya;

Ezekieli 30:13 Ezekiel 30:13

Bwana MUNGU asema hivi; Pia nitaviharibu vinyago, nami nitavikomesha vitu vya

Ezekieli 30:14 Ezekiel 30:14

Nami nitaifanya Pathrosi kuwa ukiwa, nami nitatia moto katika Soani, nami

Ezekieli 30:15 Ezekiel 30:15

Nami nitamwaga ghadhabu yangu juu ya Sini, ngome ya Misri, nami nitakatilia

Ezekieli 30:16 Ezekiel 30:16

Nami nitatia moto katika Misri; Sini itakuwa katika dhiki kuu, na No itavunjika

Ezekieli 30:17 Ezekiel 30:17

Vijana wa Oni, na wa Pi-besethi, wataanguka kwa upanga; na miji hiyo itakwenda

Ezekieli 30:18 Ezekiel 30:18

Huko Tapanesi nako mchana utakuwa giza, nitakapovunja huko kongwa za Misri, na

Ezekieli 30:19 Ezekiel 30:19

Hivyo ndivyo nitakavyotekeleza hukumu katika Misri; nao watajua ya kuwa mimi

Ezekieli 30:20 Ezekiel 30:20

Ikawa katika mwaka wa kumi na mmoja, mwezi wa kwanza, siku ya saba ya mwezi,

Ezekieli 30:21 Ezekiel 30:21

Mwanadamu, nimeuvunja mkono wa Farao, mfalme wa Misri, na tazama, haukufungwa

Ezekieli 30:22 Ezekiel 30:22

Basi Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu ya Farao, mfalme wa Misri, nami

Ezekieli 30:23 Ezekiel 30:23

Nami nitawatawanya Wamisri kati ya mataifa, na kuwatapanya kati ya nchi

Ezekieli 30:24 Ezekiel 30:24

Nami nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli, na kuutia upanga wangu katika

Ezekieli 30:25 Ezekiel 30:25

Nami nitaitegemeza mikono ya mfalme wa Babeli, na mikono ya Farao itaanguka; nao

Ezekieli 30:26 Ezekiel 30:26

Nami nitawatawanya Wamisri kati ya mataifa, na kuwatapanya kati ya nchi