Ezekieli Mlango 47 Ezekiel
Baadaye akanileta tena mpaka lango la nyumba; na tazama, maji yalitoka chini ya
Ndipo akanileta nje kwa njia ya lango upande wa kaskazini, akanizungusha kwa njia
Na alipotoka mtu yule, mwenye uzi wa kupimia mkononi mwake, kwenda masharikini,
Kisha akapima dhiraa elfu, akanivusha maji yale, maji yakafika mpaka magoti.
Kisha akapima dhiraa elfu, yakawa mto nisioweza kuuvuka; maana maji yamezidi,
Akaniambia, Mwanadamu, je! Umeona haya? Kisha akanichukua akanirudisha mpaka
Basi nikiisha kurudi, tazama, kando ya ukingo wa mto ilikuwapo miti mingi sana,
Ndipo akaniambia, Maji haya yanatoka kwenda pande za nchi ya mashariki, nayo
Tena itakuwa, kila kiumbe hai kisongamanacho, kila mahali itakapofika mito hiyo,
Tena itakuwa, wavuvi watasimama karibu nao; toka Engedi mpaka En-eglaimu,
Bali mahali penye matope, na maziwa yake, hayataponywa; yataachwa yawe ya
Na karibu na mto, juu ya ukingo wake, upande huu na upande huu, utamea kila mti
Bwana MUNGU asema hivi; Huu ndio mpaka ambao mtaigawanya nchi iwe urithi
Nanyi mtaimiliki, mtu huyu sawasawa na huyu; ambayo naliuinua mkono wangu kuwapa
Na huu ndio mpaka wa nchi; upande wa kaskazini, toka bahari kubwa, kwa njia ya
Hamathi, na Berotha, na Sibraimu, ulio katikati ya mpaka wa Dameski na mpaka wa
Nao mpaka toka baharini utakuwa Hasar-enoni, penye mpaka wa Dameski, na
Na upande wa mashariki, kati ya Haurani na Dameski, na Gileadi na nchi ya
Na upande wa kusini, kuelekea kusini, utakuwa ni kutoka Tamari mpaka maji ya
Na upande wa magharibi, utakuwa ni bahari kubwa, kutoka mpaka wa kusini mpaka
Basi ndivyo mtakavyojigawanyia nafsi zenu nchi hii, sawasawa na kabila za
Tena itakuwa mtaigawanya kwa kura, kuwa urithi kwenu, na kwa wageni wakaao kwenu
Tena itakuwa, mgeni akaaye katika kabila iwayo yote, atapewa urithi katika