Ezekieli Mlango 38 Ezekiel

Ezekieli 38:1 Ezekiel 38:1

Neno la Bwana likanijia, kusema,

Ezekieli 38:2 Ezekiel 38:2

Mwanadamu, kaza uso wako, umwelekee Gogu, wa nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi,

Ezekieli 38:3 Ezekiel 38:3

useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Gogu, mkuu wa Roshi,

Ezekieli 38:4 Ezekiel 38:4

nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa, pamoja na

Ezekieli 38:5 Ezekiel 38:5

Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo;

Ezekieli 38:6 Ezekiel 38:6

Gomeri, na vikosi vyake vyote; nyumba ya Togarma, pande za mwisho za kaskazini,

Ezekieli 38:7 Ezekiel 38:7

Ujiweke tayari, naam, jiweke tayari, wewe na majeshi yako yote waliokukusanyikia,

Ezekieli 38:8 Ezekiel 38:8

Na baada ya siku nyingi utajiliwa; katika miaka ya mwisho, utaingia nchi

Ezekieli 38:9 Ezekiel 38:9

Nawe utapaa juu, utakuja kama tufani, utakuwa kama wingu kuifunika nchi, wewe, na

Ezekieli 38:10 Ezekiel 38:10

Bwana MUNGU asema hivi; Itakuwa katika siku hiyo, mawazo yataingia moyoni mwako,

Ezekieli 38:11 Ezekiel 38:11

nawe utasema, Nitapanda juu niiendee nchi yenye vijiji visivyo na maboma;

Ezekieli 38:12 Ezekiel 38:12

ili kuteka mateka, na kuwinda mawindo; uugeuze mkono wako juu ya mahali

Ezekieli 38:13 Ezekiel 38:13

Sheba, na Dedani, na wafanya biashara wa Tarshishi, pamoja na wana-simba wake

Ezekieli 38:14 Ezekiel 38:14

Basi, mwanadamu, tabiri, umwambie Gogu, Bwana MUNGU asema hivi; Katika siku ile

Ezekieli 38:15 Ezekiel 38:15

Nawe utakuja kutoka mahali pako, kutoka pande za mwisho za kaskazini, wewe, na

Ezekieli 38:16 Ezekiel 38:16

nawe utapanda juu uwajilie watu wangu, Israeli, kama wingu kuifunika nchi;

Ezekieli 38:17 Ezekiel 38:17

Bwana MUNGU asema hivi; Je! Wewe ndiwe niliyemnena zamani za kale, kwa vinywa

Ezekieli 38:18 Ezekiel 38:18

Itakuwa katika siku hiyo, Gogu atakapokuja kupigana na nchi ya Israeli, asema

Ezekieli 38:19 Ezekiel 38:19

Kwa maana katika wivu wangu, na katika moto wa ghadhabu yangu, nimenena, Hakika

Ezekieli 38:20 Ezekiel 38:20

hata samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama wa kondeni, na vitu

Ezekieli 38:21 Ezekiel 38:21

Nami nitaita upanga, uje juu yake katika milima yangu yote, asema Bwana MUNGU;

Ezekieli 38:22 Ezekiel 38:22

Nami nitamhukumu kwa tauni, na kwa damu; nami nitanyesha mvua ifurikayo, na mvua

Ezekieli 38:23 Ezekiel 38:23

Nami nitajitukuza, na kujitakasa, na kujidhihirisha, mbele ya macho ya mataifa