Ezekieli Mlango 37 Ezekiel
Mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanichukua nje katika roho ya Bwana,
akanipitisha karibu nayo pande zote; na tazama, palikuwa na mifupa mingi katika
Akaniambia, Mwanadamu, je! Mifupa hii yaweza kuishi? Nami nikajibu, Ee Bwana
Akaniambia tena, Toa unabii juu ya mifupa hii, uiambie, Enyi mifupa mikavu,
Bwana MUNGU aiambia mifupa hii maneno haya; Tazama, nitatia pumzi ndani yenu,
Nami nitatia mishipa juu yenu, nami nitaleta nyama iwe juu yenu, na kuwafunika
Basi nikatoa unabii kama nilivyoamriwa; hata nilipokuwa nikitoa unabii, palikuwa
Nikatazama, kumbe! Kulikuwa na mishipa juu yake, nyama ikatokea juu yake, ngozi
Ndipo akaniambia, Tabiri, utabirie upepo, mwanadamu, ukauambie upepo, Bwana MUNGU
Basi nikatabiri kama alivyoniamuru; pumzi ikawaingia, wakaishi, wakasimama kwa
Kisha akaniambia, Mwanadamu, mifupa hii ni nyumba yote ya Israeli; tazama, wao
Basi tabiri, uwaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitafunua makaburi yenu,
Nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, nitakapoyafunua makaburi yenu, na kuwatoa
Nami nitatia roho yangu ndani yenu, nanyi mtaishi, nami nitawawekeni katika nchi
Neno la Bwana likanijia tena, kusema,
Na wewe mwanadamu, twaa kijiti kimoja; ukaandike juu yake, Kwa Yuda, na kwa wana
ukaviunge pamoja kwa ajili yako hiki na hiki viwe kijiti kimoja, viwe kimoja
Na wana wa watu wangu watakapokuambia, wakisema, Je! Hutatuonyesha maana ya
Waambie, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitakitwaa kijiti cha Yusufu, kilicho
Navyo vijiti, ambavyo uliandika juu yake, vitakuwa mkononi mwako mbele ya macho
Ukawaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitawatwaa wana wa Israeli toka kati
nami nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi hiyo, juu ya milima ya Israeli; na
Wala hawatajitia uchafu tena kwa vinyago vyao, wala kwa vitu vyao vichukizavyo,
Na mtumishi wangu, Daudi, atakuwa mfalme juu yao, nao wote watakuwa na mchungaji
Nao watakaa katika nchi niliyompa Yakobo, mtumishi wangu, walimokaa baba zenu;
Tena nitafanya agano la amani pamoja nao; litakuwa agano la milele pamoja nao;
Tena maskani yangu itakuwa pamoja nao; nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa
Na mataifa watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, mimi niwatakasaye Israeli,