Ezekieli Mlango 34 Ezekiel

Ezekieli 34:1 Ezekiel 34:1

Neno la Bwana likanijia, kusema,

Ezekieli 34:2 Ezekiel 34:2

Mwanadamu, toa unabii juu ya wachungaji wa Israeli, toa unabii, uwaambie, naam,

Ezekieli 34:3 Ezekiel 34:3

Mnawala walionona, mnajivika manyoya, mnawachinja walionona; lakini hamwalishi

Ezekieli 34:4 Ezekiel 34:4

Wagonjwa hamkuwatia nguvu, wala hamkuwaponya wenye maradhi, wala hamkuwafunga

Ezekieli 34:5 Ezekiel 34:5

Nao wakatawanyika, kwa sababu hapakuwa na mchungaji; wakawa chakula cha wanyama-

Ezekieli 34:6 Ezekiel 34:6

Kondoo zangu walitanga-tanga katika milima yote, na juu ya kila kilima kirefu;

Ezekieli 34:7 Ezekiel 34:7

Basi, enyi wachungaji, lisikieni neno la Bwana;

Ezekieli 34:8 Ezekiel 34:8

Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, kwa sababu kondoo zangu walikuwa mateka,

Ezekieli 34:9 Ezekiel 34:9

kwa sababu hiyo, enyi wachungaji, lisikieni neno la Bwana;

Ezekieli 34:10 Ezekiel 34:10

Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu ya wachungaji; nami nitawataka

Ezekieli 34:11 Ezekiel 34:11

Maana, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi mwenyewe, naam, mimi, nitawatafuta

Ezekieli 34:12 Ezekiel 34:12

Kama vile mchungaji atafutavyo kondoo zake, siku ile anapokuwa kati ya kondoo

Ezekieli 34:13 Ezekiel 34:13

Nami nitawatoa katika watu wa mataifa, na kuwakusanya katika nchi zote, nami

Ezekieli 34:14 Ezekiel 34:14

Nami nitawalisha malisho mema, pa juu ya milima ya mahali palipoinuka pa Israeli

Ezekieli 34:15 Ezekiel 34:15

Mimi mwenyewe nitawalisha kondoo zangu, nami nitawalaza, asema Bwana MUNGU.

Ezekieli 34:16 Ezekiel 34:16

Nami nitawatafuta waliopotea, nitawarudisha waliofukuzwa, nitawafunga

Ezekieli 34:17 Ezekiel 34:17

Na kwa habari zenu, Enyi kundi langu, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nahukumu

Ezekieli 34:18 Ezekiel 34:18

Je! Mwaona ya kuwa ni neno dogo ninyi kulishwa malisho mema, hata mkawa hamna

Ezekieli 34:19 Ezekiel 34:19

Na kwa habari za kondoo zangu, wao wanakula hayo mliyoyakanyaga kwa miguu yenu,

Ezekieli 34:20 Ezekiel 34:20

Kwa sababu hiyo, Bwana MUNGU awaambia hivi; Tazama, mimi, naam, mimi, nitahukumu

Ezekieli 34:21 Ezekiel 34:21

Kwa kuwa mmesukuma kwa ubavu, na kwa mabega, na kuwapiga wenye maradhi kwa pembe

Ezekieli 34:22 Ezekiel 34:22

basi mimi nitaliokoa kundi langu, wala hawatakuwa mateka tena; nami nitahukumu

Ezekieli 34:23 Ezekiel 34:23

Nami nitaweka mchungaji mmoja juu yao, naye atawalisha, naam, mtumishi wangu,

Ezekieli 34:24 Ezekiel 34:24

Na mimi, Bwana, nitakuwa Mungu wao, na mtumishi wangu, Daudi, atakuwa mkuu kati

Ezekieli 34:25 Ezekiel 34:25

Nami nitafanya agano la amani nao, nami nitawakomesha wanyama wakali kati yao;

Ezekieli 34:26 Ezekiel 34:26

Nami nitawafanya wao, na mahali palipo pande zote za mlima wangu, kuwa baraka,

Ezekieli 34:27 Ezekiel 34:27

Na mti wa kondeni utazaa matunda yake, nayo ardhi itatoa mazao yake, nao

Ezekieli 34:28 Ezekiel 34:28

Hawatakuwa mateka ya makafiri tena, wala mnyama wa nchi hatawala; bali watakaa

Ezekieli 34:29 Ezekiel 34:29

Nami nitawainulia miche iwe sifa njema, wala hawataangamizwa kwa njaa katika

Ezekieli 34:30 Ezekiel 34:30

Nao watajua ya kuwa mimi, Bwana, Mungu wao, ni pamoja nao, na ya kuwa wao,

Ezekieli 34:31 Ezekiel 34:31

Na ninyi, kondoo zangu, kondoo za malisho yangu, ni wanadamu, na mimi ni Mungu