Ezekieli Mlango 27 Ezekiel

Ezekieli 27:1 Ezekiel 27:1

Neno la Bwana likanijia tena, kusema,

Ezekieli 27:2 Ezekiel 27:2

Na wewe, mwanadamu, mfanyie Tiro maombolezo;

Ezekieli 27:3 Ezekiel 27:3

umwambie Tiro, Ewe ukaaye penye maingilio ya bahari, uliye mchuuzi wa watu wa

Ezekieli 27:4 Ezekiel 27:4

Mipaka yako i kati ya moyo wa bahari; wajenzi wako wameukamilisha uzuri wako.

Ezekieli 27:5 Ezekiel 27:5

Mbao zako zote wamezifanya kwa misunobari itokayo Seniri; wametwaa mierezi ya

Ezekieli 27:6 Ezekiel 27:6

kwa mialoni ya Bashani wamefanya makasia yako; na sitaha zako wamezifanya kwa

Ezekieli 27:7 Ezekiel 27:7

Tanga lako lilikuwa la kitani safi itokayo Misri, iliyotiwa taraza, ili iwe

Ezekieli 27:8 Ezekiel 27:8

Wakaao Sidoni na Arvadi ndio waliovuta makasia yako; wana wako wenye akili, Ee

Ezekieli 27:9 Ezekiel 27:9

Wazee wa Gebali na wenye akili wake walikuwa ndani yako, wenye kutia kalafati;

Ezekieli 27:10 Ezekiel 27:10

Watu wa Uajemi na Ludi na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita;

Ezekieli 27:11 Ezekiel 27:11

Watu wa Arvadi, pamoja na jeshi lako, walikuwa juu ya kuta zako pande zote, na

Ezekieli 27:12 Ezekiel 27:12

Tarshishi alikuwa mfanya biashara kwako, kwa sababu ya wingi wa utajiri wa kila

Ezekieli 27:13 Ezekiel 27:13

Uyunani na Tubali na Mesheki ndio waliokuwa wachuuzi wako; walitoa wanadamu, na

Ezekieli 27:14 Ezekiel 27:14

Watu wa nyumba ya Togarma walifanya biashara, kwa farasi, naam, farasi za vita,

Ezekieli 27:15 Ezekiel 27:15

Wadedani walikuwa wachuuzi wako, visiwa vingi vilikuwa soko la mkono wako;

Ezekieli 27:16 Ezekiel 27:16

Shamu alikuwa mfanya biashara kwako, kwa sababu ya wingi wa kazi za mkono wako

Ezekieli 27:17 Ezekiel 27:17

Yuda, na nchi ya Israeli, walikuwa wachuuzi wako; walitoa badala ya bidhaa yako

Ezekieli 27:18 Ezekiel 27:18

Dameski alikuwa mfanya biashara kwako, kwa habari ya wingi wa kazi za mkono

Ezekieli 27:19 Ezekiel 27:19

Wedani, na Yavani, walifanya biashara toka Uzali kwa vitu vyako; chuma

Ezekieli 27:20 Ezekiel 27:20

Dedani alikuwa mchuuzi wako, kwa nguo za thamani za kutandikia farasi.

Ezekieli 27:21 Ezekiel 27:21

Arabuni, na wakuu wote wa Kedari, ndio waliokuwa wafanya biashara wa mkono wako;

Ezekieli 27:22 Ezekiel 27:22

Wachuuzi wa Sheba, na Raama, ndio waliokuwa wachuuzi wako; badala ya vitu vyako

Ezekieli 27:23 Ezekiel 27:23

Harani, na Kane, na Adini, wachuuzi wa Sheba, na Ashuru, na Kilmadi, walikuwa

Ezekieli 27:24 Ezekiel 27:24

Hao ndio waliokuwa wachuuzi wako, kwa vitu vya tunu, kwa vitumba vya nguo za

Ezekieli 27:25 Ezekiel 27:25

Merikebu za Tarshishi zilikuwa misafara yako, kwa bidhaa yako; nawe ulijazwa

Ezekieli 27:26 Ezekiel 27:26

Wavuta makasia wako walikuleta katika maji makuu; upepo wa mashariki umekuvunja

Ezekieli 27:27 Ezekiel 27:27

Mali zako, na bidhaa yako, na utajiri wako, wana-maji wako, na rubani zako, na

Ezekieli 27:28 Ezekiel 27:28

Kwa sauti ya vilio vya rubani zako viunga vyako vitatetema.

Ezekieli 27:29 Ezekiel 27:29

Na wote wavutao kasia, wana-maji, na rubani zote wa baharini, watashuka katika

Ezekieli 27:30 Ezekiel 27:30

nao watasikizisha watu sauti zao juu yako, nao watalia kwa uchungu, na kutupa

Ezekieli 27:31 Ezekiel 27:31

nao watajifanya kuwa na upaa kwa ajili yako, na kujifunga nguo za magunia

Ezekieli 27:32 Ezekiel 27:32

Na katika kulia kwao watakufanyia maombolezo, na kukuombolezea, wakisema, Ni

Ezekieli 27:33 Ezekiel 27:33

Bidhaa zako zilipotoka katika bahari, uliwajaza watu wa kabila nyingi;

Ezekieli 27:34 Ezekiel 27:34

Wakati ulipovunjwa na bahari, katika vilindi vya maji, bidhaa zako na jeshi lako

Ezekieli 27:35 Ezekiel 27:35

Wote wakaao katika visiwa vile watakustaajabia, na wafalme wao wameogopa sana,

Ezekieli 27:36 Ezekiel 27:36

Wafanya biashara kati ya kabila za watu wakuzomea; umekuwa kitu cha kutisha,