Ezekieli Mlango 39 Ezekiel

Ezekieli 39:1 Ezekiel 39:1

Na wewe, mwanadamu, tabiri juu ya Gogu, useme, Bwana MUNGU asema hivi, Tazama,

Ezekieli 39:2 Ezekiel 39:2

nami nitakugeuza na kukuongoza, nami nitakupandisha toka pande za mwisho za

Ezekieli 39:3 Ezekiel 39:3

nami nitaupiga upinde wako, utoke katika mkono wako wa kushoto, na mishale yako

Ezekieli 39:4 Ezekiel 39:4

Utaanguka juu ya milima ya Israeli, wewe, na vikosi vyako vyote, na watu wa

Ezekieli 39:5 Ezekiel 39:5

Utaanguka katika uwanda; kwa maana mimi nimenena neno hili, asema Bwana MUNGU.

Ezekieli 39:6 Ezekiel 39:6

Nami nitapeleka moto juu ya Magogu; na juu ya watu wote wakaao salama katika

Ezekieli 39:7 Ezekiel 39:7

Na jina langu takatifu nitalifanya kuwa limejulika kati ya watu wangu Israeli;

Ezekieli 39:8 Ezekiel 39:8

Tazama, linakuja, nalo litatendeka, asema Bwana MUNGU; hii ndiyo siku ile

Ezekieli 39:9 Ezekiel 39:9

Hao wakaao katika miji ya Israeli watatoka, nao watafanya mioto kwa silaha za

Ezekieli 39:10 Ezekiel 39:10

hata hawataokota kuni mashambani, wala hawatakata kuni msituni; maana watafanya

Ezekieli 39:11 Ezekiel 39:11

Tena, itakuwa katika siku hiyo, nitampa Gogu pa kuzikia katika Israeli, bonde la

Ezekieli 39:12 Ezekiel 39:12

Na kwa muda wa miezi saba nyumba ya Israeli watakuwa wakiwazika, wapate

Ezekieli 39:13 Ezekiel 39:13

Naam, watu wote wa nchi hiyo watawazika; itakuwa ni sifa kwao katika siku ile

Ezekieli 39:14 Ezekiel 39:14

Nao watawachagua watu wa kufanya kazi ya daima, watakaopita kati ya nchi, ili

Ezekieli 39:15 Ezekiel 39:15

Na hao wapitao kati ya nchi watatafuta; na mtu ye yote aonapo mfupa wa mtu,

Ezekieli 39:16 Ezekiel 39:16

Tena, Hamona litakuwa jina la mji. Hivyo ndivyo watakavyosafisha nchi.

Ezekieli 39:17 Ezekiel 39:17

Na wewe, mwanadamu, Bwana MUNGU asema hivi; Sema na ndege wa kila namna, na kila

Ezekieli 39:18 Ezekiel 39:18

Mtakula nyama yao walio hodari, na kunywa damu ya wakuu wa dunia, ya kondoo

Ezekieli 39:19 Ezekiel 39:19

Nanyi mtakula mafuta na kushiba, mtakunywa damu na kulewa, na sadaka yangu

Ezekieli 39:20 Ezekiel 39:20

Nanyi mtashibishwa mezani pangu kwa farasi, na magari ya vita, na mashujaa, na

Ezekieli 39:21 Ezekiel 39:21

Nami nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa, na mataifa wote wataiona hukumu

Ezekieli 39:22 Ezekiel 39:22

Basi, nyumba ya Israeli watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wao, tangu siku

Ezekieli 39:23 Ezekiel 39:23

Nao mataifa watajua ya kuwa nyumba ya Israeli walihamishwa, na kwenda kifungoni,

Ezekieli 39:24 Ezekiel 39:24

Kwa kadiri ya uchafu wao, kwa kadiri ya makosa yao, ndivyo nilivyowatenda, nami

Ezekieli 39:25 Ezekiel 39:25

Kwa sababu hiyo, Bwana MUNGU asema hivi, Sasa nitawarejeza watu wa Yakobo

Ezekieli 39:26 Ezekiel 39:26

Nao watachukua aibu yao, na makosa yao yote waliyoniasi, watakapokaa salama

Ezekieli 39:27 Ezekiel 39:27

nitakapokuwa nimewaleta tena kutoka kabila za watu, na kuwakusanya kwa kuwatoa

Ezekieli 39:28 Ezekiel 39:28

Nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wao, kwa kuwa naliwahamisha, waende

Ezekieli 39:29 Ezekiel 39:29

wala sitawaficha uso wangu tena; kwa maana nimemwaga roho yangu juu ya nyumba ya