Ezekieli Mlango 45 Ezekiel
Tena, mtakapoigawanya nchi kwa kura iwe urithi, mtamtolea Bwana toleo, sehemu
Katika hiyo itakuwako sehemu kwa mahali patakatifu, urefu wake mia tano, na upana
Na kwa kipimo hicho utapima, urefu wa ishirini na tano elfu, na upana wa elfu
Hiyo ni sehemu takatifu ya nchi; itakuwa ya makuhani, wahudumu wa patakatifu,
Tena urefu wa ishirini na tano elfu, na upana wa elfu kumi, ni sehemu ya Walawi,
Nanyi mtaiandika milki ya mji, upana wake elfu tano, na urefu wake ishirini na
Na sehemu itakayokuwa ya mkuu itakuwa upande huu, na upande huu, wa toleo
Katika nchi hiyo itakuwa milki kwake katika Israeli; wala wakuu wangu
Bwana MUNGU asema hivi; Na iwatoshe ninyi, enyi wakuu wa Israeli; ondoeni dhuluma
Mtakuwa na mizani ya haki, na efa ya haki, na bathi ya haki.
Efa na bathi zitakuwa za kipimo kimoja; ili kwamba bathi ichukue sehemu ya kumi
Nayo shekeli itakuwa gera ishirini; shekeli tano zitakuwa shekeli tano, shekeli
Toleo mtakalotoa ni hili; sehemu ya sita ya efa katika homeri moja ya ngano,
na sehemu ya mafuta iliyoamriwa, katika bathi ya mafuta, itakuwa sehemu ya kumi
na mwana-kondoo mmoja wa kundi katika mia mbili, katika malisho ya Israeli yenye
Watu wote wa nchi watatoa toleo hili kwa ajili ya mkuu katika Israeli.
Tena itakuwa kazi ya mkuu kutoa hizo sadaka za kuteketezwa, na sadaka za unga,
Bwana MUNGU asema hivi; Mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, utatwaa
Na kuhani atatwaa baadhi ya damu ya sadaka ya dhambi, na kuitia juu ya miimo ya
Nawe utafanya vivyo hivyo katika mwezi wa saba, siku ya kwanza ya mwezi kwa
Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi, mtakuwa na Pasaka, sikukuu ya
Na siku hiyo mkuu atatengeneza ng'ombe kuwa sadaka ya dhambi, kwa ajili ya nafsi
Tena, katika zile siku saba za sikukuu atamtengenezea Bwana sadaka ya
Naye atatengeneza sadaka ya unga, efa moja kwa ng'ombe, na efa moja kwa kondoo
katika mwezi wa saba, siku ya kumi na tano ya mwezi, katika sikukuu atafanya