Ezekieli Mlango 48 Ezekiel

Ezekieli 48:1 Ezekiel 48:1

Basi, haya ndiyo majina ya kabila hizo; toka mwisho wa pande za kaskazini, karibu

Ezekieli 48:2 Ezekiel 48:2

Tena mpakani mwake Dani, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi;

Ezekieli 48:3 Ezekiel 48:3

Na mpakani mwa Asheri, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi;

Ezekieli 48:4 Ezekiel 48:4

Na mpakani mwa Naftali, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi;

Ezekieli 48:5 Ezekiel 48:5

Na mpakani mwa Manase, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi;

Ezekieli 48:6 Ezekiel 48:6

Na mpakani mwa Efraimu, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi;

Ezekieli 48:7 Ezekiel 48:7

Na mpakani mwa Reubeni, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; Yuda,

Ezekieli 48:8 Ezekiel 48:8

Na mpakani mwa Yuda, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi,

Ezekieli 48:9 Ezekiel 48:9

Matoleo hayo, mtakayomtolea Bwana, urefu wake ni mianzi ishirini na tano elfu, na

Ezekieli 48:10 Ezekiel 48:10

Matoleo hayo matakatifu yatakuwa kwa watu hawa, kwa makuhani; upande wa

Ezekieli 48:11 Ezekiel 48:11

Patakuwa kwa makuhani wa wana wa Sadoki, waliotakasika, walioulinda ulinzi

Ezekieli 48:12 Ezekiel 48:12

Na matoleo hayo ya nchi yatolewayo, yatakuwa kwao kitu kitakatifu sana, karibu

Ezekieli 48:13 Ezekiel 48:13

Na kuukabili mpaka wa makuhani, Walawi watakuwa na fungu, urefu wake ishirini na

Ezekieli 48:14 Ezekiel 48:14

Wala hawatauza sehemu yake, wala kuibadili, wala hawatawapa wengine malimbuko ya

Ezekieli 48:15 Ezekiel 48:15

Na mianzi elfu tano iliyosalia katika upana, kuikabili hiyo ishirini na tano

Ezekieli 48:16 Ezekiel 48:16

Na vipimo vyake ni hivi; upande wa kaskazini elfu nne na mia tano, na upande wa

Ezekieli 48:17 Ezekiel 48:17

Nao mji utakuwa na malisho; upande wa kaskazini mia mbili na hamsini, na upande

Ezekieli 48:18 Ezekiel 48:18

Na mabaki ya urefu wake yaelekeayo matoleo matakatifu, upande wa mashariki

Ezekieli 48:19 Ezekiel 48:19

Na hao wafanyao kazi mjini, wa kabila zote za Israeli, watailima nchi hiyo.

Ezekieli 48:20 Ezekiel 48:20

Matoleo yote yatakuwa ishirini na tano elfu, kwa ishirini na tano elfu; mtatoa

Ezekieli 48:21 Ezekiel 48:21

Nayo mabaki yake yatakuwa ya huyo mkuu, upande huu na upande huu wa matoleo

Ezekieli 48:22 Ezekiel 48:22

Tena tokea milki ya Walawi, na tokea milki ya mji, kwa kuwa ni katikati ya nchi

Ezekieli 48:23 Ezekiel 48:23

Na katika habari za kabila zilizosalia; toka upande wa mashariki hata upande wa

Ezekieli 48:24 Ezekiel 48:24

Tena mpakani mwa Benyamini, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi;

Ezekieli 48:25 Ezekiel 48:25

Tena mpakani mwa Simeoni, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi;

Ezekieli 48:26 Ezekiel 48:26

Na mpakani mwa Isakari, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi;

Ezekieli 48:27 Ezekiel 48:27

Na mpakani mwa Zabuloni, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi;

Ezekieli 48:28 Ezekiel 48:28

Na mpakani mwa Gadi, upande wa kusini kuelekea kusini, mpaka wake utakuwa toka

Ezekieli 48:29 Ezekiel 48:29

Hiyo ndiyo nchi mtakayozigawanyia kabila za Israeli, kuwa urithi wao, na hayo

Ezekieli 48:30 Ezekiel 48:30

Na matokeo ya mji ndiyo haya; upande wa kaskazini, mianzi elfu nne na mia tano,

Ezekieli 48:31 Ezekiel 48:31

na malango ya mji yatatajwa kwa majina ya kabila za Israeli, malango matatu

Ezekieli 48:32 Ezekiel 48:32

Na upande wa mashariki, elfu nne na mia tano, kwa kupima; na malango matatu;

Ezekieli 48:33 Ezekiel 48:33

Na upande wa kusini, elfu nne na mia tano kwa kupima; na malango matatu; lango

Ezekieli 48:34 Ezekiel 48:34

Na upande wa magharibi, elfu nne na mia tano; pamoja na malango yake matatu;

Ezekieli 48:35 Ezekiel 48:35

Kuuzunguka ni mianzi kumi na nane elfu; na jina la mji huo tangu siku hiyo