Ezekieli Mlango 42 Ezekiel

Ezekieli 42:1 Ezekiel 42:1

Ndipo akanileta mpaka ua wa nje, njia ya kuelekea upande wa kaskazini;

Ezekieli 42:2 Ezekiel 42:2

kukabili urefu wa dhiraa mia palikuwa na mlango wa kaskazini, na upana wake ni

Ezekieli 42:3 Ezekiel 42:3

Kukabili zile dhiraa ishirini za ua wa ndani, na kukabili sakafu ya mawe ya ua wa

Ezekieli 42:4 Ezekiel 42:4

Na mbele ya vile vyumba palikuwa na njia, upana wake dhiraa kumi upande wa ndani,

Ezekieli 42:5 Ezekiel 42:5

Basi vile vyumba vya juu vilikuwa vifupi zaidi; kwa maana baraza zile

Ezekieli 42:6 Ezekiel 42:6

Maana vilikuwa vina orofa tatu, wala havikuwa na nguzo kama nguzo za zile nyua;

Ezekieli 42:7 Ezekiel 42:7

Na ukuta ule uliokuwa nje, ubavuni mwa vyumba vile, ulioelekea ua wa nje,

Ezekieli 42:8 Ezekiel 42:8

Maana urefu wa vyumba vile, vilivyokuwa katika ua wa nje, ulikuwa dhiraa hamsini;

Ezekieli 42:9 Ezekiel 42:9

Na toka chini ya vyumba vile palikuwa na mahali pa kuingilia upande wa mashariki,

Ezekieli 42:10 Ezekiel 42:10

Tena palikuwa na vyumba katika unene wa ukuta wa ua, kuukabili upande wa

Ezekieli 42:11 Ezekiel 42:11

Nayo njia iliyokuwa mbele yake, kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwake

Ezekieli 42:12 Ezekiel 42:12

Na sawasawa na milango ya vyumba, vilivyoelekea upande wa kusini, palikuwa na

Ezekieli 42:13 Ezekiel 42:13

Kisha akaniambia, Vyumba vya upande wa kaskazini, na vyumba vya upande wa

Ezekieli 42:14 Ezekiel 42:14

Makuhani watakapoingia ndani, hawatatoka mahali patakatifu kwenda hata ua wa

Ezekieli 42:15 Ezekiel 42:15

Basi, alipokuwa amekwisha kuipima nyumba ya ndani, akanileta nje, kwa njia ya

Ezekieli 42:16 Ezekiel 42:16

Akaupima upande wa mashariki kwa mwanzi wa kupimia, mianzi mia tano, kwa mwanzi

Ezekieli 42:17 Ezekiel 42:17

Akaupima upande wa kaskazini, mianzi mia tano, kwa mwanzi wa kupimia pande zote.

Ezekieli 42:18 Ezekiel 42:18

Akaupima upande wa kusini, mianzi mia tano, kwa mwanzi wa kupimia.

Ezekieli 42:19 Ezekiel 42:19

Akageuka aelekee upande wa magharibi, akapima mianzi mia tano, kwa mwanzi wa

Ezekieli 42:20 Ezekiel 42:20

Alipima pande zake zote nne; lilikuwa na ukuta pande zote, urefu wake mianzi mia