Ezekieli Mlango 43 Ezekiel
Kisha akanileta mpaka langoni, yaani, lango lile lielekealo upande wa mashariki;
na tazama, huo utukufu wa Mungu wa Israeli ulitokea kwa njia ya mashariki; na
Na maono niliyoyaona yalikuwa kama maono niliyoyaona nilipokuja kuuharibu mji;
Na huo utukufu wa Bwana ukaingia ndani ya nyumba, kwa njia ya lango lile
Kisha Roho ikaniinua, ikanichukua mpaka ua wa ndani; na tazama, utukufu wa Bwana
Nikasikia sauti ya mmoja asemaye nami, itokayo katika nyumba hiyo; na mtu
Akaniambia, Mwanadamu, hapa ni mahali pa kiti changu cha enzi, na mahali pa nyayo
kwa kuweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu; na mwimo wao karibu na
Basi sasa wayaondoe mambo yao ya kikahaba, na mizoga ya wafalme wao, yawe mbali
Na wewe, mwanadamu, waonyeshe wana wa Israeli nyumba hii, ili wayatahayarikie
Na ikiwa wameyatahayarikia yote waliyoyatenda, waonyeshe umbo la nyumba, na
Hii ndiyo sheria ya nyumba; juu ya kilele cha mlima, mpaka wake wote pande zote
Na vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ni hivi; (dhiraa ni dhiraa na shubiri); tako
Tena toka chini, juu ya nchi, hata daraja ya chini, dhiraa mbili, na upana wake
Na madhabahu ya juu itakuwa dhiraa nne; na toka madhabahu pawashwapo moto na
Na pale pawashwapo moto, urefu wake dhiraa kumi na mbili, na upana wake kumi na
Na daraja, urefu wake dhiraa kumi na nne, na upana wake dhiraa kumi na nne,
Kisha akaniambia, Mwanadamu, Bwana MUNGU asema hivi; Hizi ndizo sheria za
Utawapa makuhani Walawi, walio wa uzao wa Sadoki, walio karibu nami, ili
Nawe utatwaa baadhi ya damu yake, na kuitia juu ya pembe zake nne, na juu ya
Tena utamtwaa ng'ombe wa sadaka ya dhambi, naye utamteketeza mahali palipoamriwa
Na siku ya pili utamtoa beberu mkamilifu awe sadaka ya dhambi; nao wataisafisha
Utakapokwisha kuitakasa, utatoa ng'ombe mume mchanga mkamilifu, na kondoo mume
Nawe utawaleta karibu mbele za Bwana, na makuhani watamwaga chumvi juu yao, nao
Kwa muda wa siku saba utaweka tayari mbuzi kila siku awe sadaka ya dhambi; pia
Kwa muda wa siku saba wataifanyia madhabahu upatanisho, na kuitakasa; ndivyo
Nao watakapozitimiza siku hizo, itakuwa, siku ya nane na baadaye, makuhani