Ezekieli Mlango 29 Ezekiel
Katika mwaka wa kumi, mwezi wa kumi, siku ya kumi na mbili ya mwezi, neno la
Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Farao, mfalme wa Misri, ukatabiri juu yake, na
nena, useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Farao, mfalme
Nami nitatia kulabu katika taya zako, nami nitawashikamanisha samaki wa mito yako
Nami nitakuacha hali umetupwa jangwani, wewe na samaki wote wa mito yako;
Na watu wote wakaao Misri watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, kwa sababu wamekuwa
Walipokushika kwa mkono wako, ulivunjika, ukawararua mabega yao yote; nao
Basi, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitaleta upanga juu yako, nami nitakatilia
Nayo nchi ya Misri itakuwa ukiwa na jangwa; nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana;
Basi, tazama, mimi ni juu yako, na juu ya mito yako, nami nitaifanya nchi ya
Hautapita kati yake mguu wa mwanadamu, wala hautapita kati yake mguu wa mnyama,
Nami nitaifanya nchi ya Misri kuwa ukiwa, kati ya nchi zilizo ukiwa, na miji
Maana Bwana MUNGU asema hivi; Mwisho wa miaka arobaini nitawakusanya Wamisri, na
nami nitawarejeza Wamisri walio katika hali ya kufungwa, nami nitawarudisha hata
Utakuwa duni kuliko falme zote; wala hautajiinua tena juu ya mataifa; nami
Wala hautakuwa tena tumaini la nyumba ya Israeli, kufanya maovu yakumbukwe,
Ikawa katika mwaka wa ishirini na saba, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya
Mwanadamu, Nebukadreza, mfalme wa Babeli, alilihudumisha jeshi lake huduma kuu
Basi, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitampa Nebukadreza, mfalme wa Babeli,
Nimempa nchi ya Misri kuwa malipo ya huduma aliyohudumu, kwa sababu walifanya
Siku ile nitawachipushia nyumba ya Israeli pembe, nami nitakujalia kufumbua