Ezekieli Mlango 31 Ezekiel

Ezekieli 31:1 Ezekiel 31:1

Ikawa katika mwaka wa kumi na mmoja, mwezi wa tatu, siku ya kwanza ya mwezi, neno

Ezekieli 31:2 Ezekiel 31:2

Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri, na jamii ya watu wake, Je! Umefanana na

Ezekieli 31:3 Ezekiel 31:3

Tazama, Mwashuri alikuwa mwerezi katika Lebanoni, wenye matawi mazuri, na

Ezekieli 31:4 Ezekiel 31:4

Maji yalimlisha, vilindi vilimsitawisha; mito yake ilipita pande zote za miche

Ezekieli 31:5 Ezekiel 31:5

Basi kimo chake kilitukuzwa kuliko miti yote ya kondeni, na vitanzu vyake

Ezekieli 31:6 Ezekiel 31:6

Ndege wote wa angani walifanya vioto vyao katika vitanzu vyake, na chini ya

Ezekieli 31:7 Ezekiel 31:7

Basi hivyo alikuwa mzuri katika ukuu wake, katika urefu wa matawi yake; maana

Ezekieli 31:8 Ezekiel 31:8

Mierezi ya bustani ya Mungu haikuweza kumficha; misunobari haikuwa kama vitanzu

Ezekieli 31:9 Ezekiel 31:9

Nalimfanya kuwa mzuri kwa wingi wa matawi yake; hata miti yote ya Adeni,

Ezekieli 31:10 Ezekiel 31:10

Basi Bwana MUNGU asema hivi; kwa kuwa umetukuzwa kimo chako, naye ameweka kilele

Ezekieli 31:11 Ezekiel 31:11

mimi nitamtia katika mikono yake aliye mkuu kati ya mataifa; naye atamtenda

Ezekieli 31:12 Ezekiel 31:12

Na wageni, watu wa mataifa watishao, wamemkatilia mbali na kumwacha; juu ya

Ezekieli 31:13 Ezekiel 31:13

Juu ya magofu yake ndege wote wa angani watakaa, na wanyama wote wa jangwani

Ezekieli 31:14 Ezekiel 31:14

kusudi mti wo wote, ulio karibu na maji, usijitukuze kwa sababu ya kimo chake,

Ezekieli 31:15 Ezekiel 31:15

Bwana MUNGU asema hivi, Katika siku ile alipotelemka mpaka kuzimu naliamuru

Ezekieli 31:16 Ezekiel 31:16

Niliwatetemesha mataifa kwa mshindo wa kuanguka kwake, hapo nilipomtupa chini

Ezekieli 31:17 Ezekiel 31:17

Hao nao walitelemka kuzimuni pamoja naye kwa watu waliouawa kwa upanga; naam,

Ezekieli 31:18 Ezekiel 31:18

Umefanana na nani, hivi katika utukufu na ukuu, kati ya miti ya Adeni? Lakini