Ezekieli Mlango 28 Ezekiel

Ezekieli 28:1 Ezekiel 28:1

Neno la Bwana likanijia tena, kusema,

Ezekieli 28:2 Ezekiel 28:2

Mwanadamu, mwambie mkuu wa Tiro, Bwana MUNGU asema hivi; Kwa kuwa moyo wako

Ezekieli 28:3 Ezekiel 28:3

Tazama, una hekima kuliko Danieli; hapana neno la siri watu wawezalo kukuficha;

Ezekieli 28:4 Ezekiel 28:4

kwa hekima yako na kwa fahamu zako umejipatia utajiri, nawe umepata dhahabu na

Ezekieli 28:5 Ezekiel 28:5

kwa hekima yako nyingi, na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, na moyo

Ezekieli 28:6 Ezekiel 28:6

basi, kwa hiyo, Bwana MUNGU asema hivi; Kwa kuwa umeweka moyo wako kama moyo wa

Ezekieli 28:7 Ezekiel 28:7

basi, tazama, nitaleta wageni juu yako, watu wa mataifa wenye kutisha; nao

Ezekieli 28:8 Ezekiel 28:8

Watakushusha hata shimoni; nawe utakufa kifo chao waliouawa kati ya bahari.

Ezekieli 28:9 Ezekiel 28:9

Je! Utazidi kusema mbele yake huyo akuuaye, Mimi ni Mungu? Lakini u mwanadamu,

Ezekieli 28:10 Ezekiel 28:10

Utakufa kifo cha hao wasiotahiriwa, kwa mikono ya wageni; kwa maana mimi

Ezekieli 28:11 Ezekiel 28:11

Tena neno la Bwana likanijia, kusema,

Ezekieli 28:12 Ezekiel 28:12

Mwanadamu, umfanyie maombolezo mfalme wa Tiro, umwambie, Bwana MUNGU asema hivi;

Ezekieli 28:13 Ezekiel 28:13

Ulikuwa ndani ya Adeni, bustani ya Mungu; kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko

Ezekieli 28:14 Ezekiel 28:14

Wewe ulikuwa kerubi mwenye kutiwa mafuta afunikaye; nami nalikuweka hata ukawa

Ezekieli 28:15 Ezekiel 28:15

Ulikuwa mkamilifu katika njia zako tangu siku ile ulipoumbwa, hata uovu

Ezekieli 28:16 Ezekiel 28:16

Kwa wingi wa uchuuzi wako watu walikujaza udhalimu ndani yako, nawe umetenda

Ezekieli 28:17 Ezekiel 28:17

Moyo wako uliinuka kwa sababu ya uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu

Ezekieli 28:18 Ezekiel 28:18

Kwa wingi wa maovu yako, katika uovu wa uchuuzi wako, umepatia unajisi

Ezekieli 28:19 Ezekiel 28:19

Wote wakujuao kati ya kabila za watu watakustaajabia; umekuwa kitu cha kutisha,

Ezekieli 28:20 Ezekiel 28:20

Neno la Bwana likanijia, kusema,

Ezekieli 28:21 Ezekiel 28:21

Mwanadamu, uuelekezee Sidoni uso wako, ukatabiri juu yake,

Ezekieli 28:22 Ezekiel 28:22

useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ee Sidoni, nami

Ezekieli 28:23 Ezekiel 28:23

Maana nitampelekea tauni, na damu, katika njia kuu zake, na hao waliotiwa jeraha

Ezekieli 28:24 Ezekiel 28:24

Wala hautakuwapo mchongoma uchomao kwa nyumba ya Israeli; wala mwiba uumizao

Ezekieli 28:25 Ezekiel 28:25

Bwana MUNGU asema hivi; Nitakapokuwa nimewakusanya nyumba ya Israeli, na kuwatoa

Ezekieli 28:26 Ezekiel 28:26

Nao watakaa humo salama; naam, watajenga nyumba, na kupanda mashamba ya