Ezekieli Mlango 32 Ezekiel

Ezekieli 32:1 Ezekiel 32:1

Ikawa katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya

Ezekieli 32:2 Ezekiel 32:2

Mwanadamu, mfanyie Farao, mfalme wa Misri, maombolezo, umwambie, Ulifananishwa na

Ezekieli 32:3 Ezekiel 32:3

Bwana MUNGU asema hivi; Nitautanda wavu wangu juu yako, kwa kusanyiko la watu wa

Ezekieli 32:4 Ezekiel 32:4

Nami nitakuacha juu ya nchi kavu, nitakutupa juu ya uso wa uwanda, nami

Ezekieli 32:5 Ezekiel 32:5

Nami nitaweka nyama yako juu ya milima, na kuyajaza mabonde kwa urefu wako.

Ezekieli 32:6 Ezekiel 32:6

Tena kwa damu yako nitainywesha nchi, ambayo waogelea juu yake, hata milimani; na

Ezekieli 32:7 Ezekiel 32:7

Nami nitakapokuzimisha, nitazifunikiza mbingu, na kuzifanya nyota zake kuwa giza;

Ezekieli 32:8 Ezekiel 32:8

Mianga yote ya mbinguni iangazayo nitaifanya kuwa giza juu yako, nami nitatia

Ezekieli 32:9 Ezekiel 32:9

Tena nitawakasirisha watu wengi mioyo yao, nitakapoleta uangamivu wako kati ya

Ezekieli 32:10 Ezekiel 32:10

Nami nitawashangaza watu wa kabila nyingi kwa habari zako, na wafalme wao

Ezekieli 32:11 Ezekiel 32:11

Maana Bwana MUNGU asema hivi; Upanga wa mfalme wa Babeli utakujilia.

Ezekieli 32:12 Ezekiel 32:12

Kwa panga za mashujaa nitawaangusha watu wako wote jamii; hao wote ni watu wa

Ezekieli 32:13 Ezekiel 32:13

Tena nitawaharibu wanyama wake wote, toka kando ya maji mengi; na mguu wa

Ezekieli 32:14 Ezekiel 32:14

Ndipo nitakapoyafanya maji yao kuwa safi, na kuiendesha mito yao kama mafuta,

Ezekieli 32:15 Ezekiel 32:15

Nitakapoifanya nchi ya Misri kuwa ukiwa na jangwa, nchi iliyopungukiwa na vitu

Ezekieli 32:16 Ezekiel 32:16

Hayo ndiyo maombolezo watakayoomboleza; binti za mataifa wataomboleza kwa hayo;

Ezekieli 32:17 Ezekiel 32:17

Ikawa katika mwaka wa kumi na mbili, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la

Ezekieli 32:18 Ezekiel 32:18

Mwanadamu, walilie watu wa Misri. Wote jamii ukawabwage, naam, yeye, na binti za

Ezekieli 32:19 Ezekiel 32:19

Umemshinda nani kwa uzuri? Shuka, ukalazwe pamoja na wasiotahiriwa.

Ezekieli 32:20 Ezekiel 32:20

Wataanguka kati ya watu waliouawa kwa upanga; ametokwa apigwe na upanga; mvuteni

Ezekieli 32:21 Ezekiel 32:21

Walio hodari watasema naye, toka kati ya kuzimu pamoja nao wamsaidiao; wameshuka

Ezekieli 32:22 Ezekiel 32:22

Ashuru yuko huko, na watu wake wote jamii; makaburi yake yamzunguka; wote pia

Ezekieli 32:23 Ezekiel 32:23

ambao makaburi yao yamewekwa pande za shimo zilizo mbali sana, wote jamii

Ezekieli 32:24 Ezekiel 32:24

Elamu yuko huko, na watu wake wote jamii, pande zote za kaburi lake; wote pia

Ezekieli 32:25 Ezekiel 32:25

Wamemwekea kitanda kati ya hao waliouawa, pamoja na watu wake wote jamii;

Ezekieli 32:26 Ezekiel 32:26

Mesheki yuko huko, na Tubali, na watu wake wote jamii; makaburi yake yamzunguka;

Ezekieli 32:27 Ezekiel 32:27

Je! Wasilale pamoja na mashujaa wao wasiotahiriwa, walioanguka, walioshuka

Ezekieli 32:28 Ezekiel 32:28

Lakini utavunjika kati ya hao wasiotahiriwa, nawe utalala pamoja nao waliouawa

Ezekieli 32:29 Ezekiel 32:29

Edomu yuko huko, wafalme wake, na wakuu wake wote, ambao katika uwezo wao

Ezekieli 32:30 Ezekiel 32:30

Wakuu wa kaskazini wako huko, wote pia, na Wasidoni, wote walioshuka pamoja na

Ezekieli 32:31 Ezekiel 32:31

Farao atawaona, naye atapata faraja juu ya watu wake wote jamii; naam, Farao,

Ezekieli 32:32 Ezekiel 32:32

Kwa maana nimeweka utisho wake katika nchi ya walio hai; naye atalazwa kati yao