Ezekieli Mlango 33 Ezekiel

Ezekieli 33:1 Ezekiel 33:1

Neno la Bwana likanijia, kusema,

Ezekieli 33:2 Ezekiel 33:2

Mwanadamu, sema na wana wa watu wako, uwaambie, Hapo nitakapoleta upanga juu ya

Ezekieli 33:3 Ezekiel 33:3

ikiwa, aonapo upanga unakuja juu ya nchi hiyo, apiga tarumbeta na kuwaonya watu;

Ezekieli 33:4 Ezekiel 33:4

basi mtu awaye yote aisikiaye sauti ya tarumbeta, wala haonywi, upanga ukija na

Ezekieli 33:5 Ezekiel 33:5

Aliisikia sauti ya tarumbeta, wala hakuonywa; damu yake itakuwa juu yake; lakini

Ezekieli 33:6 Ezekiel 33:6

Bali mlinzi akiona upanga unakuja, kama hapigi tarumbeta, wala watu hawakuonywa,

Ezekieli 33:7 Ezekiel 33:7

Basi wewe, mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli; basi ulisikie

Ezekieli 33:8 Ezekiel 33:8

Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la

Ezekieli 33:9 Ezekiel 33:9

Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye

Ezekieli 33:10 Ezekiel 33:10

Na wewe, mwanadamu, sema na nyumba ya Israeli; Ninyi mwasema hivi, kwamba,

Ezekieli 33:11 Ezekiel 33:11

Waambie, Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, sikufurahii kufa kwake mtu

Ezekieli 33:12 Ezekiel 33:12

Na wewe, mwanadamu, waambie wana wa watu wako, Haki yake mwenye haki

Ezekieli 33:13 Ezekiel 33:13

Nimwambiapo mwenye haki, ya kwamba hakika ataishi; kama akiitumainia haki yake,

Ezekieli 33:14 Ezekiel 33:14

Tena, nimwambiapo mtu mwovu, Hakika utakufa; kama akighairi, na kuiacha dhambi

Ezekieli 33:15 Ezekiel 33:15

kama mtu mwovu akirudisha rehani, na kumrudishia mtu mali yake aliyomnyang'anya,

Ezekieli 33:16 Ezekiel 33:16

Katika dhambi zake zote alizozitenda, hata mojawapo haitakumbukwa juu yake;

Ezekieli 33:17 Ezekiel 33:17

Walakini wana wa watu wako husema, Njia ya Bwana si sawa; lakini watu hao, njia

Ezekieli 33:18 Ezekiel 33:18

Mwenye haki ageukapo, na kuiacha haki yake, na kutenda maovu, atakufa katika

Ezekieli 33:19 Ezekiel 33:19

Na mtu mbaya ageukapo, na kuuacha ubaya wake, na kutenda yaliyo halali na haki,

Ezekieli 33:20 Ezekiel 33:20

Lakini ninyi husema, Njia ya Bwana si sawa. Ee nyumba ya Israeli, nitawahukumu

Ezekieli 33:21 Ezekiel 33:21

Ikawa, katika mwaka wa kumi na mbili wa kuhamishwa kwetu, mwezi wa kumi, siku ya

Ezekieli 33:22 Ezekiel 33:22

Basi mkono wa Bwana umekuwa juu yangu wakati wa jioni, kabla hajafika yeye

Ezekieli 33:23 Ezekiel 33:23

Neno la Bwana likanijia, kusema,

Ezekieli 33:24 Ezekiel 33:24

Mwanadamu, watu wale wakaao mahali palipoharibika katika nchi ya Israeli husema

Ezekieli 33:25 Ezekiel 33:25

Basi, waambie, Bwana MUNGU asema hivi; Mnakula nyama pamoja na damu yake, na

Ezekieli 33:26 Ezekiel 33:26

Mnategemea upanga wenu, mnatenda machukizo, mnanajisi kila mtu mke wa jirani

Ezekieli 33:27 Ezekiel 33:27

Hivi ndivyo utakavyowaambia, Bwana MUNGU asema hivi; Kama mimi niishivyo, hakika

Ezekieli 33:28 Ezekiel 33:28

Nami nitaifanya nchi kuwa ukiwa na ajabu, na kiburi cha uwezo wake kitakoma;

Ezekieli 33:29 Ezekiel 33:29

Ndipo watakapojua ya kuwa mimi ndimi Bwana, nitakapoifanya nchi kuwa ukiwa na

Ezekieli 33:30 Ezekiel 33:30

Nawe, mwanadamu, wana wa watu wako husimulia habari zako karibu na kuta, na

Ezekieli 33:31 Ezekiel 33:31

Nao huja kwako kama watu wajavyo, nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao

Ezekieli 33:32 Ezekiel 33:32

Na tazama, wewe umekuwa kwao kama wimbo mzuri sana, wa mtu mwenye sauti

Ezekieli 33:33 Ezekiel 33:33

Na hayo yatakapokuwapo (tazama, yanakuja), ndipo watakapojua ya kuwa nabii