Ezekieli Mlango 36 Ezekiel
Na wewe, mwanadamu, itabirie milima ya Israeli, useme, Enyi milima ya Israeli,
Bwana MUNGU asema hivi; Kwa sababu adui amesema juu yenu, Aha! Na, Mahali pa juu
basi tabiri useme, Bwana MUNGU asema hivi; Kwa sababu, naam, kwa sababu
kwa sababu hiyo, enyi milima ya Israeli, lisikieni neno la Bwana MUNGU; Bwana
basi Bwana MUNGU asema hivi; Hakika kwa moto wa wivu wangu nimenena juu ya mabaki
basi katika kutabiri habari za nchi ya Israeli, uiambie milima na vilima,
basi Bwana MUNGU asema hivi; Nimeinua mkono wangu, kusema, Hakika, mataifa walio
Lakini ninyi, enyi milima ya Israeli, mtachipuza matawi yenu na kuwapa watu wangu
Maana, tazama, mimi nasimama upande wenu, nami nitawaelekea, nanyi mtalimwa na
nami nitaongeza watu juu yenu, nyumba yote ya Israeli, naam, yote pia; nayo miji
Nami nitaongeza juu yenu mwanadamu na mnyama, nao watazidi na kuzaa; nami
Naam, nitaleta watu watembee juu yenu, naam, watu wangu Israeli; nao
Bwana MUNGU asema hivi; Kwa kuwa watu hukuambia, wewe nchi u mwenye kula watu,
basi hutakula watu tena, wala hutafisha watu wa taifa lako tena, asema Bwana
wala sitakusikizisha tena aibu yao wasioamini, wala hutachukua matukano ya watu
Tena, neno la Bwana likanijia, kusema,
Mwanadamu, nyumba ya Israeli walipokaa katika nchi yao wenyewe, waliitia uchafu
Kwa hiyo nalimwaga hasira yangu juu yao, kwa ajili ya damu waliyoimwaga juu ya
Nikawatawanya katika mataifa, wakatapanyika katika nchi nyingi; kwa kadiri ya
Nao walipoyafikilia mataifa yale waliyoyaendea, walilitia unajisi jina langu
Lakini, naliwahurumia kwa ajili ya jina langu takatifu, ambalo nyumba ya Israeli
Kwa hiyo; waambieni nyumba ya Israeli, Bwana MUNGU asema hivi Sitendi hili kwa
Nami nitalitakasa jina langu kuu, lililotiwa unajisi katika mataifa, mlilolitia
Maana nitawatwaa kati ya mataifa, nami nitawakusanya na kuwatoa katika nchi
Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni na uchafu
Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa
Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi
Nanyi mtakaa katika nchi ile niliyowapa baba zenu, nanyi mtakuwa watu wangu,
Nami nitawaokoeni na uchafu wenu wote; nitaiita ngano, na kuiongeza, wala
Nami nitazidisha matunda ya miti, na mazao ya mashamba, msipate tena kutukanwa
Ndipo mtazikumbuka njia zenu mbaya, na matendo yenu yasiyokuwa mema, nanyi
Ijulikane kwenu ya kuwa silitendi neno hili kwa ajili yenu, asema Bwana MUNGU;
Bwana MUNGU asema hivi; Siku ile nitakapowatakaseni na maovu yenu yote,
Nchi iliyokuwa ukiwa italimwa, ijapokuwa ilikuwa ukiwa mbele ya macho ya watu
Nao watasema, Nchi hii, iliyokuwa ukiwa, imekuwa kama bustani ya Adeni; nayo
Ndipo mataifa, waliobaki karibu yenu pande zote, watajua ya kuwa mimi, Bwana,
Bwana MUNGU asema hivi, Tena kwa ajili ya jambo hili nitaulizwa na nyumba ya
Kama kundi lililo tayari kutolewa sadaka, kama kundi la Yerusalemu katika