Ezekieli Mlango 40 Ezekiel
Katika mwaka wa ishirini na tano wa kuhamishwa kwetu, mwanzo wa mwaka, siku ya
Katika maono ya Mungu alinileta mpaka nchi ya Israeli, akaniweka juu ya mlima
Akanileta huko, na tazama, alikuwapo mtu, ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama
Mtu yule akaniambia, Mwanadamu, tazama kwa macho yako, sikia kwa masikio yako,
Na, tazama, kulikuwa na ukuta nje ya nyumba pande zote, na katika mkono wa mtu
Kisha akaenda mpaka lango lielekealo upande wa mashariki, akapanda madaraja yake;
Na kila chumba, upana wake mwanzi mmoja, na urefu wake mwanzi mmoja; na nafasi
Akaupima na ukumbi wa lango lililoielekea nyumba, mwanzi mmoja.
Kisha akaupima ukumbi wa lango, dhiraa nane; na miimo yake, dhiraa mbili; na
Na vyumba vya walinzi, vya lango upande wa mashariki, vilikuwa vitatu upande
Akaupima upana wa mahali pa kuliingilia lango, dhiraa kumi; na urefu wa lango,
Na mpaka, mbele ya vile vyumba, dhiraa moja upande huu, na mpaka, dhiraa moja
Akalipima lango, toka paa la chumba kimoja hata paa la chumba cha pili, upana wa
Akafanya miimo pia, dhiraa sitini; na uwanda uliufikilia mwimo, lango lile
Na toka mahali palipo mbele ya lango, penye maingilio yake, hata mahali palipo
Na kwa vile vyumba palikuwa na madirisha yaliyofungwa, na kwa miimo yake ndani
Ndipo akanileta mpaka ua wa nje, na tazama, palikuwa na vyumba, na sakafu
Na ile sakafu ilikuwa kando ya malango, urefu wake sawasawa na urefu wa malango,
Kisha akaupima upana, toka mahali palipokuwa mbele ya lango la chini hata mahali
Nalo lango la ua wa nje, lililoelekea kaskazini, akalipima urefu wake, na upana
Na vyumba vyake vya walinzi vilikuwa vitatu upande huu, na vitatu upande huu; na
Na madirisha yake, na matao yake, na mitende yake, kipimo chake ni sawasawa na
Na ule ua wa ndani ulikuwa na lango lililoelekea lile lango la pili, upande wa
Akanileta mpaka upande wa kusini, na tazama, lango lililoelekea kusini; akaipima
Tena palikuwa na madirisha ndani yake, na katika matao yake pande zote kama
Tena palikuwa na madaraja saba ya kulipandia, na matao yake yalikuwa mbele yake;
Tena ua wa ndani ulikuwa na lango, lililoelekea kusini; akapima toka lango hata
Kisha akanileta mpaka ua wa ndani karibu na lango lililoelekea kusini; akalipima
navyo vyumba vyake vya walinzi, na miimo yake, na matao yake, sawasawa na vipimo
Tena palikuwa na matao pande zote, urefu wake dhiraa ishirini na tano na upana
Na matao yake yaliuelekea ua wa nje, na mitende ilikuwa juu ya miimo yake;
Akanileta mpaka ua wa ndani ulioelekea upande wa mashariki, akalipima lango kwa
navyo vyumba vyake vya walinzi, na miimo yake, na matao yake, kwa vipimo hivyo;
Na matao yake yaliuelekea ua wa nje; na mitende ilikuwa juu ya miimo yake,
Akanileta mpaka lango lililoelekea upande wa kaskazini; akalipima kwa vipimo
vyumba vyake vya walinzi, na miimo yake, na matao yake; tena palikuwa na
Na miimo yake iliuelekea ua wa nje; na mitende ilikuwa juu ya miimo yake, upande
Na chumba, pamoja na lango lake, kilikuwa karibu na miimo ya malango; ndiko
Na katika ukumbi wa lango palikuwa na meza mbili upande huu, na meza mbili
Na upande mmoja, nje, penye madaraja ya kuliingia lango lililoelekea kaskazini,
Palikuwa na meza nne upande huu, na meza nne upande huu, karibu na lango; meza
Tena palikuwa na meza nne kwa sadaka za kuteketezwa, za mawe yaliyochongwa;
Tena hizo kulabu, ambazo urefu wake ni shubiri, zilifungwa ndani pande zote; na
Tena nje ya lango la ndani palikuwa na vyumba kwa waimbaji, katika ua wa ndani,
Akaniambia, Chumba hiki kinachokabili upande wa kusini ni kwa makuhani, yaani,
Nacho chumba kinachokabili upande wa kaskazini ni kwa makuhani, walinzi wa
Akaupima huo ua, na urefu wake ulikuwa dhiraa mia, na upana wake dhiraa mia,
Ndipo akanileta mpaka ukumbi wa nyumba, akapima kila mwimo wa ukumbi, dhiraa
Urefu wa ukumbi ulikuwa dhiraa ishirini, na upana wake dhiraa kumi na moja;