Ezekieli Mlango 44 Ezekiel

Ezekieli 44:1 Ezekiel 44:1

Kisha akanirudisha kwa njia ya lango lile la nje, la mahali patakatifu

Ezekieli 44:2 Ezekiel 44:2

Bwana akaniambia, Lango hili litafungwa, halitafunguliwa, wala mtu awaye yote

Ezekieli 44:3 Ezekiel 44:3

Na mkuu, yeye ndiye atakayeketi ndani yake ale chakula mbele za Bwana; ataingia

Ezekieli 44:4 Ezekiel 44:4

Kisha akanileta, kwa njia ya lango la upande wa kaskazini, mbele ya nyumba;

Ezekieli 44:5 Ezekiel 44:5

Bwana akaniambia, Mwanadamu, weka moyoni mwako, ukatazame kwa macho yako,

Ezekieli 44:6 Ezekiel 44:6

Nawe utawaambia waasi, yaani nyumba ya Israeli, Bwana MUNGU asema hivi; Enyi

Ezekieli 44:7 Ezekiel 44:7

kuwa mmewaingiza wageni, ambao mioyo yao haikutahiriwa, wala miili yao

Ezekieli 44:8 Ezekiel 44:8

Wala hamkuvilinda vitu vyangu vitakatifu bali mmejiwekea walinzi wa kawaida

Ezekieli 44:9 Ezekiel 44:9

Bwana MUNGU asema hivi; Hapana mgeni, ambaye moyo wake haukutahiriwa, wala mwili

Ezekieli 44:10 Ezekiel 44:10

Lakini Walawi waliofarakana nami, hapo Waisraeli walipopotea, waliopotea na

Ezekieli 44:11 Ezekiel 44:11

Hata hivyo watakuwa wahudumu katika patakatifu pangu, wakiwa wasimamizi wa

Ezekieli 44:12 Ezekiel 44:12

Kwa sababu waliwahudumia mbele ya vinyago vyao, wakawa kwazo la uovu kwa nyumba

Ezekieli 44:13 Ezekiel 44:13

Wala hawatanikaribia, kunihudumia katika kazi ya ukuhani, wala hawatakaribia

Ezekieli 44:14 Ezekiel 44:14

Lakini nitawafanya kuwa walinzi katika ulinzi wa nyumba, kwa huduma yake yote,

Ezekieli 44:15 Ezekiel 44:15

Lakini makuhani Walawi, wana wa Sadoki, waliolinda ulinzi wa patakatifu pangu,

Ezekieli 44:16 Ezekiel 44:16

wataingia patakatifu pangu, nao wataikaribia meza yangu, ili kunihudumia, nao

Ezekieli 44:17 Ezekiel 44:17

Itakuwa, hapo watakapoingia kwa malango ya ua wa ndani, watavikwa mavazi ya

Ezekieli 44:18 Ezekiel 44:18

Watakuwa na vilemba vya kitani juu ya vichwa vyao, nao watakuwa na suruali za

Ezekieli 44:19 Ezekiel 44:19

Nao watakapotoka kuingia ua wa nje, yaani, ua wa nje wa watu, ndipo

Ezekieli 44:20 Ezekiel 44:20

Hawatanyoa vichwa vyao, wala hawataacha nywele zao kuwa ndefu sana;

Ezekieli 44:21 Ezekiel 44:21

Wala kuhani awaye yote hatakunywa mvinyo, aingiapo katika ua wa ndani.

Ezekieli 44:22 Ezekiel 44:22

Wala hawataoa wanawake wajane, wala mwanamke aliyeachwa na mume wake; lakini

Ezekieli 44:23 Ezekiel 44:23

Nao watawafundisha watu wangu tofauti iliyopo kati ya vitu vitakatifu na vitu

Ezekieli 44:24 Ezekiel 44:24

Na katika mashindano watasimama ili kuamua; wataamua sawasawa na hukumu zangu;

Ezekieli 44:25 Ezekiel 44:25

Wala hawatakaribia maiti na kujitia unajisi; ila kwa ajili ya baba, au mama, au

Ezekieli 44:26 Ezekiel 44:26

Naye akiisha kutakaswa watamhesabia siku saba.

Ezekieli 44:27 Ezekiel 44:27

Na katika siku atakayoingia ndani ya patakatifu, katika ua wa ndani, ili

Ezekieli 44:28 Ezekiel 44:28

Nao watakuwa na urithi; mimi ni urithi wao; wala hamtawapa milki iwayo yote

Ezekieli 44:29 Ezekiel 44:29

Wataila sadaka ya unga, na sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia, na kila kitu

Ezekieli 44:30 Ezekiel 44:30

Na kitu cha kwanza cha malimbuko yote ya vitu vyote, na kila toleo la kila kitu

Ezekieli 44:31 Ezekiel 44:31

Makuhani hawatakula nyamafu, au iliyoraruliwa, ikiwa ya ndege au ya mnyama.