Ezekieli Mlango 41 Ezekiel

Ezekieli 41:1 Ezekiel 41:1

Akanileta mpaka hekaluni, akaipima miimo, upana wake dhiraa sita upande mmoja, na

Ezekieli 41:2 Ezekiel 41:2

Na upana wa maingilio yake ulikuwa dhiraa kumi; na mbavu za maingilio zilikuwa

Ezekieli 41:3 Ezekiel 41:3

Kisha akaingia ndani, akapima kila mwimo wa maingilio, dhiraa mbili; nayo

Ezekieli 41:4 Ezekiel 41:4

Akaupima urefu wake; dhiraa ishirini, na upana wake, dhiraa ishirini, mbele ya

Ezekieli 41:5 Ezekiel 41:5

Kisha akaupima ukuta wa nyumba, dhiraa sita; na upana wa kila chumba cha mbavuni,

Ezekieli 41:6 Ezekiel 41:6

Na vile vyumba vya mbavuni vilikuwa na orofa tatu, moja juu ya mwenziwe; vilikuwa

Ezekieli 41:7 Ezekiel 41:7

Na vile vyumba vya mbavuni vilizidi kuwa vipana, kwa kadiri vilivyoizunguka

Ezekieli 41:8 Ezekiel 41:8

Tena, nikaona ya kwamba nyumba ile ilikuwa na sakafu ya mawe, iliyoinuliwa pande

Ezekieli 41:9 Ezekiel 41:9

Unene wa ukuta uliokuwa wa vile vyumba vya mbavuni, upande wa nje, ulikuwa dhiraa

Ezekieli 41:10 Ezekiel 41:10

na vyumba vya walinzi, upana wa dhiraa ishirini, kuizunguka nyumba pande zote.

Ezekieli 41:11 Ezekiel 41:11

Na milango ya vile vyumba vya mbavuni iliielekea nafasi ile iliyobaki, mlango

Ezekieli 41:12 Ezekiel 41:12

Nalo jengo lililokabili mahali palipotengeka upande wa magharibi, upana wake

Ezekieli 41:13 Ezekiel 41:13

Basi akaipima nyumba, urefu wake dhiraa mia; na mahali pale palipotengeka na

Ezekieli 41:14 Ezekiel 41:14

tena upana wa uso wa nyumba, na wa mahali palipotengeka upande wa mashariki,

Ezekieli 41:15 Ezekiel 41:15

Akaupima urefu wa jengo lile lililokabili mahali palipotengeka, palipokuwa nyuma

Ezekieli 41:16 Ezekiel 41:16

na vizingiti, na madirisha yaliyofungwa, na baraza za pande zote za orofa zile

Ezekieli 41:17 Ezekiel 41:17

na mpaka juu ya mlango hata nyumba ya ndani, na nje, na juu ya kuta zote pande

Ezekieli 41:18 Ezekiel 41:18

kulipambwa kwa makerubi na mitende; mtende mmoja kati ya kerubi na kerubi, na

Ezekieli 41:19 Ezekiel 41:19

basi palikuwa na uso wa mwanadamu kuelekea mtende mmoja, na uso wa mwana-simba

Ezekieli 41:20 Ezekiel 41:20

Toka chini hata juu ya mlango makerubi yamefanyika, na mitende, na vivi hivi

Ezekieli 41:21 Ezekiel 41:21

Na hilo hekalu, miimo ya milango yake ilikuwa ya miraba; na mbele ya patakatifu

Ezekieli 41:22 Ezekiel 41:22

Madhabahu ilikuwa ni ya miti, kimo chake dhiraa tatu, na urefu wake dhiraa

Ezekieli 41:23 Ezekiel 41:23

Nalo hekalu na patakatifu palikuwa na milango miwili.

Ezekieli 41:24 Ezekiel 41:24

Na milango hiyo, kila mmoja ulikuwa na mbao mbili; mbao mbili zigeukazo; mbao

Ezekieli 41:25 Ezekiel 41:25

Na milango ya hekalu ilifanyiziwa makerubi na mitende vile vile, kama zile kuta

Ezekieli 41:26 Ezekiel 41:26

Tena palikuwa na madirisha yaliyofungwa, na mitende, upande huu na upande huu,