Ezekieli Mlango 46 Ezekiel
Bwana MUNGU asema hivi; Lango la ua wa ndani, lielekealo upande wa mashariki
Naye mkuu ataingia kwa njia ya ukumbi wa lango lile, upande wa nje, naye
Watu wa nchi nao wataabudu mbele ya mlango wa lile lango mbele za Bwana, siku za
Nayo sadaka ya kuteketezwa, ambayo mkuu atamtolea Bwana siku ya sabato, itakuwa
Na sadaka ya unga itakuwa efa moja kwa kondoo mume, na sadaka ya unga kwa wale
Na siku ya mwezi mpya itakuwa ni ng'ombe mume mchanga mkamilifu; na wana-kondoo
Naye atatengeneza sadaka ya unga, efa moja kwa ng'ombe mume, na efa moja kwa
Naye mkuu atakapoingia, ataingia kwa njia ya ukumbi wa lango lile, naye atatoka
Lakini watu wa nchi watakapokuja mbele za Bwana katika sikukuu zilizoamriwa, yeye
Naye mkuu atakapoingia, ataingia katikati yao, nao, watakapotoka, watatoka wote
Na katika sikukuu hizo, na sikukuu nyingine zilizoamriwa, sadaka ya unga itakuwa
Naye mkuu atakapotengeneza sadaka atoayo kwa hiari yake mwenyewe, sadaka ya
Nawe utatengeneza mwana-kondoo wa mwaka wa kwanza, mkamilifu, kuwa sadaka ya
Nawe utatengeneza sadaka ya unga pamoja nayo kila siku asubuhi, sehemu ya sita
Hivyo ndivyo watakavyomtengeneza mwana-kondoo, na sadaka ya unga, na mafuta,
Bwana MUNGU asema hivi; Mkuu akimpa mwanawe awaye yote zawadi, ni urithi wake,
Bali akimpa mmoja wa watumishi wake baadhi ya urithi wake, itakuwa mali yake
Tena mkuu hatawaondolea watu urithi wao, hata kuwatoa kwa nguvu katika milki
Ndipo akanileta kati ya maingilio, yaliyokuwa kando ya lango, mpaka vyumba
Akaniambia, Hapa ndipo mahali pa makuhani, watakapoitokosa sadaka ya hatia, na
Kisha akanileta mpaka ua wa nje, akanipitisha karibu na pembe nne za ua huo; na
Katika pembe nne za ua huo palikuwa na viwanja vilivyoungana, urefu wake dhiraa
Tena palikuwa na safu ndani yake pande zote, kuvizunguka vile viwanja vinne;
Ndipo akaniambia, Hizi ni nyumba za kutokosea, ambamo wahudumu wa nyumba