Ezekieli Mlango 46 Ezekiel

Ezekieli 46:1 Ezekiel 46:1

Bwana MUNGU asema hivi; Lango la ua wa ndani, lielekealo upande wa mashariki

Ezekieli 46:2 Ezekiel 46:2

Naye mkuu ataingia kwa njia ya ukumbi wa lango lile, upande wa nje, naye

Ezekieli 46:3 Ezekiel 46:3

Watu wa nchi nao wataabudu mbele ya mlango wa lile lango mbele za Bwana, siku za

Ezekieli 46:4 Ezekiel 46:4

Nayo sadaka ya kuteketezwa, ambayo mkuu atamtolea Bwana siku ya sabato, itakuwa

Ezekieli 46:5 Ezekiel 46:5

Na sadaka ya unga itakuwa efa moja kwa kondoo mume, na sadaka ya unga kwa wale

Ezekieli 46:6 Ezekiel 46:6

Na siku ya mwezi mpya itakuwa ni ng'ombe mume mchanga mkamilifu; na wana-kondoo

Ezekieli 46:7 Ezekiel 46:7

Naye atatengeneza sadaka ya unga, efa moja kwa ng'ombe mume, na efa moja kwa

Ezekieli 46:8 Ezekiel 46:8

Naye mkuu atakapoingia, ataingia kwa njia ya ukumbi wa lango lile, naye atatoka

Ezekieli 46:9 Ezekiel 46:9

Lakini watu wa nchi watakapokuja mbele za Bwana katika sikukuu zilizoamriwa, yeye

Ezekieli 46:10 Ezekiel 46:10

Naye mkuu atakapoingia, ataingia katikati yao, nao, watakapotoka, watatoka wote

Ezekieli 46:11 Ezekiel 46:11

Na katika sikukuu hizo, na sikukuu nyingine zilizoamriwa, sadaka ya unga itakuwa

Ezekieli 46:12 Ezekiel 46:12

Naye mkuu atakapotengeneza sadaka atoayo kwa hiari yake mwenyewe, sadaka ya

Ezekieli 46:13 Ezekiel 46:13

Nawe utatengeneza mwana-kondoo wa mwaka wa kwanza, mkamilifu, kuwa sadaka ya

Ezekieli 46:14 Ezekiel 46:14

Nawe utatengeneza sadaka ya unga pamoja nayo kila siku asubuhi, sehemu ya sita

Ezekieli 46:15 Ezekiel 46:15

Hivyo ndivyo watakavyomtengeneza mwana-kondoo, na sadaka ya unga, na mafuta,

Ezekieli 46:16 Ezekiel 46:16

Bwana MUNGU asema hivi; Mkuu akimpa mwanawe awaye yote zawadi, ni urithi wake,

Ezekieli 46:17 Ezekiel 46:17

Bali akimpa mmoja wa watumishi wake baadhi ya urithi wake, itakuwa mali yake

Ezekieli 46:18 Ezekiel 46:18

Tena mkuu hatawaondolea watu urithi wao, hata kuwatoa kwa nguvu katika milki

Ezekieli 46:19 Ezekiel 46:19

Ndipo akanileta kati ya maingilio, yaliyokuwa kando ya lango, mpaka vyumba

Ezekieli 46:20 Ezekiel 46:20

Akaniambia, Hapa ndipo mahali pa makuhani, watakapoitokosa sadaka ya hatia, na

Ezekieli 46:21 Ezekiel 46:21

Kisha akanileta mpaka ua wa nje, akanipitisha karibu na pembe nne za ua huo; na

Ezekieli 46:22 Ezekiel 46:22

Katika pembe nne za ua huo palikuwa na viwanja vilivyoungana, urefu wake dhiraa

Ezekieli 46:23 Ezekiel 46:23

Tena palikuwa na safu ndani yake pande zote, kuvizunguka vile viwanja vinne;

Ezekieli 46:24 Ezekiel 46:24

Ndipo akaniambia, Hizi ni nyumba za kutokosea, ambamo wahudumu wa nyumba