Zaburi
Mwanzo
Kutoka
Mambo ya Walawi
Hesabu
Kumbukumbu la Torati
Yoshua
Waamuzi
Ruthu
1 Samweli
2 Samweli
1 Wafalme
2 Wafalme
1 Mambo ya Nyakati
2 Mambo ya Nyakati
Ezra
Nehemia
Esta
Ayabu
Zaburi
Mithali
Mhubiri
Wimbo Ulio Bora
Isaya
Yeremia
Maombolezo
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo ya Mitume
Warumi
1 Wakorintho
2 Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
1 Wathesalonike
2 Wathesalonike
1 Timotheo
2 Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
1 Petro
2 Petro
1 Yohana
2 Yohana
3 Yohana
Yuda
Ufunuo wa Yohana
Zaburi Mlango 112 Psalms
Haleluya. Heri mtu yule amchaye Bwana, Apendezwaye sana na maagizo yake.
Wazao wake watakuwa hodari duniani; Kizazi cha wenye adili kitabarikiwa.
Nyumbani mwake mna utajiri na mali, Na haki yake yakaa milele.
Nuru huwazukia wenye adili gizani; Ana fadhili na huruma na haki.
Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.
Kwa maana hataondoshwa kamwe; Mwenye haki atakumbukwa milele.
Hataogopa habari mbaya; Moyo wake u imara ukimtumaini Bwana.
Moyo wake umethibitika hataogopa, Hata awaone watesi wake wameshindwa.
Amekirimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.
Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuyeyuka, Tamaa ya wasio haki itapotea.