Zaburi
Mwanzo
Kutoka
Mambo ya Walawi
Hesabu
Kumbukumbu la Torati
Yoshua
Waamuzi
Ruthu
1 Samweli
2 Samweli
1 Wafalme
2 Wafalme
1 Mambo ya Nyakati
2 Mambo ya Nyakati
Ezra
Nehemia
Esta
Ayabu
Zaburi
Mithali
Mhubiri
Wimbo Ulio Bora
Isaya
Yeremia
Maombolezo
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo ya Mitume
Warumi
1 Wakorintho
2 Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
1 Wathesalonike
2 Wathesalonike
1 Timotheo
2 Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
1 Petro
2 Petro
1 Yohana
2 Yohana
3 Yohana
Yuda
Ufunuo wa Yohana
Zaburi Mlango 121 Psalms
Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu u katika Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.
Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;
Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
Bwana ndiye mlinzi wako; Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume.
Jua halitakupiga mchana, Wala mwezi wakati wa usiku.
Bwana atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako.
Bwana atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.