Zaburi
Mwanzo
Kutoka
Mambo ya Walawi
Hesabu
Kumbukumbu la Torati
Yoshua
Waamuzi
Ruthu
1 Samweli
2 Samweli
1 Wafalme
2 Wafalme
1 Mambo ya Nyakati
2 Mambo ya Nyakati
Ezra
Nehemia
Esta
Ayabu
Zaburi
Mithali
Mhubiri
Wimbo Ulio Bora
Isaya
Yeremia
Maombolezo
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo ya Mitume
Warumi
1 Wakorintho
2 Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
1 Wathesalonike
2 Wathesalonike
1 Timotheo
2 Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
1 Petro
2 Petro
1 Yohana
2 Yohana
3 Yohana
Yuda
Ufunuo wa Yohana
Zaburi Mlango 82 Psalms
Mungu asimama katika kusanyiko la Mungu; Katikati ya miungu anahukumu.
Hata lini mtahukumu kwa dhuluma, Na kuzikubali nyuso za wabaya?
Mfanyieni hukumu maskini na yatima; Mtendeeni haki aliyeonewa na fukara;
Mwokoeni maskini na mhitaji; Mwopoeni mikononi mwa wadhalimu.
Hawajui wala hawafahamu, hutembea gizani; Misingi yote ya nchi imetikisika.
Mimi nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia.
Lakini mtakufa kama wanadamu, Mtaanguka kama mmoja wa wakuu.
Ee Mungu, usimame, uihukumu nchi, Maana Wewe utawarithi mataifa yote.