Zaburi
Mwanzo
Kutoka
Mambo ya Walawi
Hesabu
Kumbukumbu la Torati
Yoshua
Waamuzi
Ruthu
1 Samweli
2 Samweli
1 Wafalme
2 Wafalme
1 Mambo ya Nyakati
2 Mambo ya Nyakati
Ezra
Nehemia
Esta
Ayabu
Zaburi
Mithali
Mhubiri
Wimbo Ulio Bora
Isaya
Yeremia
Maombolezo
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo ya Mitume
Warumi
1 Wakorintho
2 Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
1 Wathesalonike
2 Wathesalonike
1 Timotheo
2 Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
1 Petro
2 Petro
1 Yohana
2 Yohana
3 Yohana
Yuda
Ufunuo wa Yohana
Zaburi Mlango 3 Psalms
Bwana, watesi wangu wamezidi kuwa wengi, Ni wengi wanaonishambulia,
Ni wengi wanaoiambia nafsi yangu, Hana wokovu huyu kwa Mungu.
Na Wewe, Bwana, U ngao yangu pande zote, Utukufu wangu na mwinua kichwa changu.
Kwa sauti yangu namwita Bwana Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu.
Nalijilaza nikalala usingizi, nikaamka, Kwa kuwa Bwana ananitegemeza.
Sitayaogopa makumi elfu ya watu, Waliojipanga juu yangu pande zote.
Bwana, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.
Wokovu una Bwana; Baraka yako na iwe juu ya watu wako.