Zaburi
Mwanzo
Kutoka
Mambo ya Walawi
Hesabu
Kumbukumbu la Torati
Yoshua
Waamuzi
Ruthu
1 Samweli
2 Samweli
1 Wafalme
2 Wafalme
1 Mambo ya Nyakati
2 Mambo ya Nyakati
Ezra
Nehemia
Esta
Ayabu
Zaburi
Mithali
Mhubiri
Wimbo Ulio Bora
Isaya
Yeremia
Maombolezo
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo ya Mitume
Warumi
1 Wakorintho
2 Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
1 Wathesalonike
2 Wathesalonike
1 Timotheo
2 Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
1 Petro
2 Petro
1 Yohana
2 Yohana
3 Yohana
Yuda
Ufunuo wa Yohana
Zaburi Mlango 129 Psalms
Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Israeli na aseme sasa,
Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Lakini hawakuniweza.
Wakulima wamelima mgongoni mwangu, Wamefanya mirefu mifuo yao.
Bwana ndiye mwenye haki, Amezikata kamba zao wasio haki.
Na waaibishwe, warudishwe nyuma, Wote wanaoichukia Sayuni.
Na wawe kama majani ya darini Yanyaukayo kabla hayajamea.
Ambayo mvunaji haujazi mkono wake, Wala mfunga miganda kifua chake.
Wala hawasemi wapitao, Amani ya Bwana ikae nanyi, Twawabariki kwa jina la Bwana.